Mwalimu wa nursery

Mwalimu wa nursery

okech

Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
9
Reaction score
0
Wapendwa wana jf natafuta mwalimu wa nursery na darasa la nne ambaye anakaa maeneo yombo vituka ili aweze kuwafundisha wanangu 2 muda ni kuanzi jioni (yasizidi masaa mawili ila pungufu inawekana) malipo ni 100,000/= kwa mwezi.

Kwa mawasiliano tumia box 70291 dar es salaam.

Asanteni
 
ongeza mshahara kdogo me ni mwalimu wa level ya diploma naweza ifanya kaz hyo kwa usahihi kwan watoto wako wako wangapi? Kama unaweza kuongea hata na jiran yako watoto wakawa weng weng kwa laki 2 ingekua poa sana
 
Oke mi ni mwalimu ,mhitimu wa chuo kikuu. Kama utakubal me niko tayari kuja mara tatu kwa wiki .mengine tutaongea zaid kama utakubal
 
Oke mi ni mwalimu ,mhitimu wa chuo kikuu. Kama utakubal me niko tayari kuja mara tatu kwa wiki .mengine tutaongea zaid kama utakubali nijibu!
 
Back
Top Bottom