Wapendwa wana jf natafuta mwalimu wa nursery na darasa la nne ambaye anakaa maeneo yombo vituka ili aweze kuwafundisha wanangu 2 muda ni kuanzi jioni (yasizidi masaa mawili ila pungufu inawekana) malipo ni 100,000/= kwa mwezi.
Kwa mawasiliano tumia box 70291 dar es salaam.
Asanteni
Kwa mawasiliano tumia box 70291 dar es salaam.
Asanteni