kibol
JF-Expert Member
- Apr 24, 2012
- 4,512
- 2,730
RIP mwalimu wa mwalimu,mwambie mwalimu kuwa nchi inateketea...yule ambaye hakutaka aongoze nchi sasa hivi anateketeza nchi..ameanzisha msitu maalum kwa watu wanaopinga serikali na kudai haki zao..Mabwepande..kauza Ikulu kwa kununuliwa suti.
Amwambie pia ikulu yake imegeuzwa pango la walanguzi.