milioni milioni
JF-Expert Member
- Mar 25, 2013
- 1,845
- 1,064
unaweza kumuomba Mungu shetani akakuzidi spidi hili darasa walahi sitoki hivihivi
Vigezo na mashart huzingatiwa, jela sio uwanja wa sabasabaunaweza kumuomba Mungu shetani akakuzidi spidi hili darasa walahi sitoki hivihivi
unavaa lab coat hata kama ni somo la kiswahiliUkiwa na betri na funguo nyingi kwenye mifuko ya suruali unafundisha na kutoka darasani salama.
unavaa lab coat hata kama ni somo la kiswahili
hii shule iko wapi?Vipi utafundisha ukatoka salama?![]()


Hata kwa marehemu madiba ndio mikato yao vident vinavaa visket vifupiiiiMkuu,hyo nadhani ni Jamaica,
If you dis Rastafarians you are da bomboclat...,ya'man we smoke weed cuz Bob Marley left it to us...,Haile Selasie the lion of Juddah conquer the Babilon,aaaaaaaiiiiiiii!
Hao majamaa kukaa uchi au kutembea mitaani wakiwa half naked kwao ni jambo la kawaida sana,binafsi naweza kufundsha kwenye darasa hilo na kutoka salama kama Professional teacher ambaye nipo well equipped with ethics!