Ferruccio Lamborghini
JF-Expert Member
- Apr 15, 2020
- 1,664
- 2,517
Shule ya awali na msingi ya Magreth inahitaji mwalimu wa hisabati darasa la iii, iv na v, mwombaji awe na stashahada au shahada ya ualimu somo la hesabu. Fika shuleni Kimara Mwisho, Barabara ya Bonyokwa, Kwa Mrema, au tupigie 0719 360 956 au 0655 030 050.