wa log
Member
- Jul 1, 2015
- 71
- 47
Mimi ni mwalimu wa masomo ya biolojia pamoja na kemia, Graduate(UDSM) Ninatafuta kazi.
Nimetuma maombi sehemu mbalimbali kwa njia ya email na watsup lkn sijaitwa hata sehemu moja.
Ninaomba msaada kama kuna yeyote mwenye connection anijuze. Kwa sasa nipo dar-es-salaam lakini nipo tayari kwenda mahali popote Tanzania kufata kazi.
Nimetuma maombi sehemu mbalimbali kwa njia ya email na watsup lkn sijaitwa hata sehemu moja.
Ninaomba msaada kama kuna yeyote mwenye connection anijuze. Kwa sasa nipo dar-es-salaam lakini nipo tayari kwenda mahali popote Tanzania kufata kazi.