Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,174
Wana JF naombeni ushauri wenu kati ya hawa (mwalimu,nesi) ni yupi anafaa kuoa? & why?
wewe unapenda yupi........................wapo waalimu/wauguzi wengine ni madume nao je.........maana hukusema jinsia ya hao waalimu au manesi.........