johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,965
- 141,968
Mwaka 2015 Salum Mwalimu aligombea ubunge pale Unguja kwenye jimbo lenye takribani watu 3000 lakini wakamuona hatoshi. Ndio miye Yohana najiuliza kama Mwalimu pale Unguja hakutosha, je atatosha Kinondoni kweli?!! Ni hilo swali tu, ahsante!