Hostel za ndani zipo chini ya mamlaka ya chuoHostel za njee zikoje na za ndani zikoje
kiongozi hapo ufafanuzi kidogo hostel za ndani zipo chini ya mamlaka ya chuo kwa wale diploma na certificate kuhusu msosi inakuwaje za nje nimekusoma vzrHostel za ndani zipo chini ya mamlaka ya chuo
Hostel za nje unajitafutia
Ukitaka hostel za ndani unafuata taratibu za kuomba hapo chuonikiongozi hapo ufafanuzi kidogo hostel za ndani zipo chini ya mamlaka ya chuo kwa wale diploma na certificate kuhusu msosi inakuwaje za nje nimekusoma vzr
Chakula kipo kingi na maisha ni rahisi kigamboni mitaa ya kwa urasa chumba kibaoVeep kuhusu hosteli & msosi coz kuna dogo kachaguliwa ualimu wa primary
Fikiria kabla ya kuropokaNijuavyo mimi ni Chuo kipo Butiama kitakuwa kozi za kilimo pia na ualimu,hii ilikuwa ni Secondary ya Advance ya Osward Mang'ombe,kuna majengo mazuri na bora kabisa nadhani wanafunzi wote watakaochaguliwa hapo watapata Hostel wote
Yamekuwa hayo tena mkuu,poa!Fikiria kabla ya kuropoka
Mwalimu Nyerere Memorial Academy-KingamboniFikiria kabla ya kuropoka
hivi ni kweli pale mwl. nyerere kuna certificate ya ualimu wa primary?Mwalimu Nyerere Memorial Academy-Kingamboni
Mwalimu Nyerere University of Agriculture and Technology-Butiama
Kipindi hiko iliitwa hivyo ila siku hizi inaitwa Diploma in Primary Education ipo pale piahivi ni kweli pale mwl. nyerere kuna certificate ya ualimu wa primary?
Sidhani ila najua ni tawi la udsm kama ilivyo duce na muce
Hapo nimekupata mkuu ulimi huna mfupaMwalimu Nyerere Memorial Academy-Kingamboni
Mwalimu Nyerere University of Agriculture and Technology-Butiama
Poa!Hapo nimekupata mkuu ulimi huna mfupa
Asante kk kwani hata mimi nimechaguliwa hapo ualimuWakuu nimesoma comment zenu lakini nadhani waliowengi kuna ukweli hawajaugusa juu ya chuo hiki.Chuo cha kumbukumbu ya mwalimu Nyerere MNMA sio tawi la UDSM kama wengi walivyochangia.Chuo hiki kinajitegemea kiuebdeshaji.Kitu kimoja tu ambacho kinahusisha vyuo hivi viwili yaani UDSM Na MNMA ni kushirikiana wahadhili.Mwalimu nyerere memorial academy mwanzoni kuliitwa chuo cha kivukoni tangu mwaka 1954 hadi kilipobadilishwa jina Na kuitwa Chuo cha kumbukumbu ya mwalimu Nyerere.Kipo kigamboni.kinachukuwa wanafunzi wa cheti kwa masomo mbalimbali ikiwemo hiyo koz ya ualimu was shule ya msingi ambapo mwaka huu wa masomo 2016/17 ndo imeanzishwa hapo.pia kuna stashahada Na shahada.kuhusu hosteli ni kwamba zilizopo chuoni hazitoshi Na wengi hulazimika kupanga mageto au hostel za nje maeneo ya kigamboni,machava,kwa urasa nk.Mimi mwenyewe ni mwanachuo hicho kwa sasa.Karibuni sana.pia mkumbuke kuwa chuo hiki kina tawi lingine Zanzibar.Asante.
Level ipi kati ya astashahada,stashahada Na shahada mkuu.Mimi niko hapo naingia mwaka wa pili.ukiona inafaa nipmAsante kk kwani hata mimi nimechaguliwa hapo ualimu
za nje ziko nje ya chuo na za ndani ziko ndani ya uzio wa chuoHostel za njee zikoje na za ndani zikoje
Astashada mkuuLevel ipi kati ya astashahada,stashahada Na shahada mkuu.Mimi niko hapo naingia mwaka wa pili.ukiona inafaa nipm