Kwani Mbowe siku hizi amekuwa prof wa mambo ya ubongo au prof wa madisco?
Vipi kwenye ukumbi wa disco ukivaa kijani na njano inakuwaje?
swali lako halina mashiko...
Kwani Mbowe siku hizi amekuwa prof wa mambo ya ubongo au prof wa madisco?
Vipi kwenye ukumbi wa disco ukivaa kijani na njano inakuwaje?
Nimeukuta mjadala huu mahala fulani, eti wadau nasikia enzi za uhai wa Hayati MWL. J. K. NYERERE hakuwahi kuvaa SARE YA CHAMA, CCM (kijani na njano) hata mara moja.
Je, jambo hili linaukweli ndani yake? Na kama ni kweli tunajifunza nini?
alailazimishwa tu kuvaa ili wafanane
Acheni Uzushi!!! Sasa kama hakuvaa ndio nini? Mtu akiwa na mke wake wanafungishwa ndoa kanisani au mbele ya Shekh ni lazima ambusu mbele ya watu ndio mjue kuwa anampenda anayemwo???!! Asipombusu basi hampendi?? Huo ni ushamba sana wa baadhi ya watu.
nimeukuta mjadala huu mahala fulani, eti wadau nasikia enzi za uhai wa hayati mwl. J. K. Nyerere hakuwahi kuvaa sare ya chama, ccm (kijani na njano) hata mara moja.
Je, jambo hili linaukweli ndani yake? Na kama ni kweli tunajifunza nini?