Mwalimu mzoefu Niko hapa!!!

Mwalimu mzoefu Niko hapa!!!

Muumangu

Member
Joined
Dec 31, 2017
Posts
70
Reaction score
16
Kama kichwa hapo juu kinavyojieleza, Mimi ni mwalimu mzoefu( 4 years experience) katika hesabu na kemia, naomba kwa mwenye mawasiliano ya shule yoyote yenye kuhitaji mwalimu wa masomo tajwa hapo juu, iwe kwa sekondari ama English medium aniuganishe,(Elimu yangu ni shahada), nusu ya mshahara wangu wa mwezi wa kwanza katika kazi nitampatia, mawasiliano: Mr...0752448854.
Ahsanteni
 
Niko vizuri na upande wa chemistry practicals, Volumetric analysis, rate, salts etc
 
Kama kichwa hapo juu kinavyojieleza, Mimi ni mwalimu mzoefu( 4 years experience) katika hesabu na kemia, naomba kwa mwenye mawasiliano ya shule yoyote yenye kuhitaji mwalimu wa masomo tajwa hapo juu, iwe kwa sekondari ama English medium aniuganishe,(Elimu yangu ni shahada), nusu ya mshahara wangu wa mwezi wa kwanza katika kazi nitampatia, mawasiliano: Mr...0752448854.
Ahsanteni
Nimeona tangazo Leo shule ya almutazir wanahitaji walimu qa masomo.yako.

Shule za almutazir ziko dar
 
Kama kichwa hapo juu kinavyojieleza, Mimi ni mwalimu mzoefu( 4 years experience) katika hesabu na kemia, naomba kwa mwenye mawasiliano ya shule yoyote yenye kuhitaji mwalimu wa masomo tajwa hapo juu, iwe kwa sekondari ama English medium aniuganishe,(Elimu yangu ni shahada), nusu ya mshahara wangu wa mwezi wa kwanza katika kazi nitampatia, mawasiliano: Mr...0752448854.
Ahsanteni
-Upo tayari kufanya kazi katika interval ipi ya kiwango cha mshahara?Namaanisha mfano;kati ya Tsh x hadi Tsh y kwa mwezi.

-upo tayari kufanya kazi mkoa gani?

-Unahitaji ajira ya part-time au full-time?

Fafanua hayo itakua rahisi kukusaidia.
 
-Upo tayari kufanya kazi katika interval ipi ya kiwango cha mshahara?Namaanisha mfano;kati ya Tsh x hadi Tsh y kwa mwezi.

-upo tayari kufanya kazi mkoa gani?

-Unahitaji ajira ya part-time au full-time?

Fafanua hayo itakua rahisi kukusaidia.
Kuhusu salary ni maelewano kati ya muajiri na muajiriwa( siyo biashara mf.simu kwamba tayari ina fixed amount), Naweza fundisha mkoa wowote endapo tutaelewana vizuri na muajiri. Kwa Dar es salaam naweza fanya yoyote aidha part/ full- time( itategemea uhitaji wa shule husika), ila nje ya Dar es salaam, full time kwangu itapendeza zaidi...
 
experience yako ni kwa shule za o'level au hata advance pia..!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom