Mwalimu mzima unakesha kuangalia TBC

Mwalimu mzima unakesha kuangalia TBC

Huwa mnamlipia au analipa mwenyewe au wewe baba mwenye nyumba na hayo ndio masharti yako,kwa hiyo wewe unaamua uhuru wa wengine,unajuaje yeye kachagua hiyo unayoiona wewe ni shida
Kutazama Teebeethee kunahitaji malipo?
 
Sio kuwa anapenda kuangalia tbc.ila pesa ya bando
 
ni shida povu lote hilo ni mwl kaangalia tbc ? jikague haupo sawa
 
Ujue walimu wa Tz sijui wamerogwa

Walimu wa Tz ndo wanatumika kuibeba CCM kipindi cha uchaguzi mwisho wa siku wanatupwa kama makapi ,mshahara wanaongezewa elfu 6 kweli walimu mnanyanyasika sana

Mwalimu unaacha kuangalia chaneli zingine za TV upanue mawazo yako na ujue jinsi ya kudai haki yako wewe kutwa kucha unaangalia TBC

TBC ni Chanel ya CCM haina jipya habari zote ni za kumpamba Magufuli na Bashite wake sasa unapozidi kuiangalia unapoteza uwezo wako wa Kufundisha yaliyo mema mwisho unafundisha ujinga tu kama CCM wanavyopenda

Kuna ticha jirani yangu hapa ghetto ka chizi yani kutwa kuangalia TBC akiendelea naenda kung'oa lile dish lake LA Azam
Let it go! kunapipo zimekunywa maji ya bendera....hauwezi kuwabadilisha chochote, wapo na wanaamini wanchokiamini! Hatuezi kuwa sawa...
 
Ujue walimu wa Tz sijui wamerogwa

Walimu wa Tz ndo wanatumika kuibeba CCM kipindi cha uchaguzi mwisho wa siku wanatupwa kama makapi ,mshahara wanaongezewa elfu 6 kweli walimu mnanyanyasika sana

Mwalimu unaacha kuangalia chaneli zingine za TV upanue mawazo yako na ujue jinsi ya kudai haki yako wewe kutwa kucha unaangalia TBC

TBC ni Chanel ya CCM haina jipya habari zote ni za kumpamba Magufuli na Bashite wake sasa unapozidi kuiangalia unapoteza uwezo wako wa Kufundisha yaliyo mema mwisho unafundisha ujinga tu kama CCM wanavyopenda

Kuna ticha jirani yangu hapa ghetto ka chizi yani kutwa kuangalia TBC akiendelea naenda kung'oa lile dish lake LA Azam
Kwel mkuu,hata mimi mtaani kwangu kuna Mama mmoja ni Mwalimu,yaani Tbc na yeye,au huwa wanafuatilia labda kama mshahara utaongezwa,matokeo wameambulia buku 6 hii ni aibu ilioje?,miaka miwil buku 6 inasubiriwa,na bado mna matumaini na Ccm!
 
Si kupenda kwao ela yakulipia kifurushi ana itoa wap bob kifurushi kikikata chanel ya free ni TBC tu hakuna chanel. Nyingine so unakosa ujanja u have to watch it no options
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom