Mwalimu mzima unakesha kuangalia TBC

Mwalimu mzima unakesha kuangalia TBC

Sigara Kali

JF-Expert Member
Joined
May 28, 2017
Posts
3,708
Reaction score
8,746
Ujue walimu wa Tz sijui wamerogwa

Walimu wa Tz ndo wanatumika kuibeba CCM kipindi cha uchaguzi mwisho wa siku wanatupwa kama makapi ,mshahara wanaongezewa elfu 6 kweli walimu mnanyanyasika sana

Mwalimu unaacha kuangalia chaneli zingine za TV upanue mawazo yako na ujue jinsi ya kudai haki yako wewe kutwa kucha unaangalia TBC

TBC ni Chanel ya CCM haina jipya habari zote ni za kumpamba Magufuli na Bashite wake sasa unapozidi kuiangalia unapoteza uwezo wako wa Kufundisha yaliyo mema mwisho unafundisha ujinga tu kama CCM wanavyopenda

Kuna ticha jirani yangu hapa ghetto ka chizi yani kutwa kuangalia TBC akiendelea naenda kung'oa lile dish lake LA Azam
 
Ujue walimu wa Tz sijui wamerogwa



TBC ni Chanel ya serikali haina jipya habari zote ni za kumpamba Magufuli na Bashite wake sasa unapozidi kuiangalia unapoteza uwezo wako wa Kufundisha yaliyo mema mwisho unafundisha ujinga tu kama CCM wanavyopenda

Kuna ticha jirani yangu hapa ghetto ka chizi yani kutwa kuangalia TBC akiendelea naenda kung'oa lile dish lake LA Azam
Acha uongo ni ya CCM.
 
Huwa mnamlipia au analipa mwenyewe au wewe baba mwenye nyumba na hayo ndio masharti yako,kwa hiyo wewe unaamua uhuru wa wengine,unajuaje yeye kachagua hiyo unayoiona wewe ni shida
 
ha ha ha! utakufa bure kufatilia ya watu kama unafikiri kutoangalia tbc ndo kuwa na akili kubwa wafwa!
 
Kwa maoni yangu ni kwamba watu kama hawa ambao kila mara ni kuwananga walimu wana upungufu wa akili.Kila mtu ana Uhuru wa kuchagua maisha yake.Inapunguza au kuongeza nini kwako huyo mwalimu akiangalia TBC?
Hivi maisha yenu magumu yamesababishwa na walimu wa Tanzania au uvivu wenu na kutokuwa wabunifu?Waacheni walimu waishi wanavyotaka.Just let them be.
 
Ujue walimu wa Tz sijui wamerogwa

Walimu wa Tz ndo wanatumika kuibeba CCM kipindi cha uchaguzi mwisho wa siku wanatupwa kama makapi ,mshahara wanaongezewa elfu 6 kweli walimu mnanyanyasika sana

Mwalimu unaacha kuangalia chaneli zingine za TV upanue mawazo yako na ujue jinsi ya kudai haki yako wewe kutwa kucha unaangalia TBC

TBC ni Chanel ya CCM haina jipya habari zote ni za kumpamba Magufuli na Bashite wake sasa unapozidi kuiangalia unapoteza uwezo wako wa Kufundisha yaliyo mema mwisho unafundisha ujinga tu kama CCM wanavyopenda

Kuna ticha jirani yangu hapa ghetto ka chizi yani kutwa kuangalia TBC akiendelea naenda kung'oa lile dish lake LA Azam
Hahahahahah Mkuu hujajua kaishiwa kifurushi kama una mazoea nae tumia mbinu za kijasusi muulize kama ukikuta ana kifurushi rudi hapa nikupe ushauri
 
Ujue walimu wa Tz sijui wamerogwa

Walimu wa Tz ndo wanatumika kuibeba CCM kipindi cha uchaguzi mwisho wa siku wanatupwa kama makapi ,mshahara wanaongezewa elfu 6 kweli walimu mnanyanyasika sana

Mwalimu unaacha kuangalia chaneli zingine za TV upanue mawazo yako na ujue jinsi ya kudai haki yako wewe kutwa kucha unaangalia TBC

TBC ni Chanel ya CCM haina jipya habari zote ni za kumpamba Magufuli na Bashite wake sasa unapozidi kuiangalia unapoteza uwezo wako wa Kufundisha yaliyo mema mwisho unafundisha ujinga tu kama CCM wanavyopenda

Kuna ticha jirani yangu hapa ghetto ka chizi yani kutwa kuangalia TBC akiendelea naenda kung'oa lile dish lake LA Azam
Wakati mwingine anakuwa hana namna ya kuangalia channel zingine manake inabidi alipie. TBC ni free Chanel. Labda kwa kumsaidia na uache kumsimanga mnunulie kifurushi !
 
Ndiyo akili mlizobakiza za kupangia watu nini cha kufanya wewe fanya yako kwa uhuru acha kupangia watu ndiyo maana Rais alisema yeye hapangiwi na hii ni tabia ya baadhi yenu ya kutaka kile mnachoona kinafaa na kuwafurahisha bila kujua kila mtu ana haki ya kujiamlia bila kumkwaza mwingine
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom