Mwalimu mpya majanga!

Mwalimu mpya majanga!

unajua mashuleni kuna waalimu wanafiki kila wanachofanya wenzao wanapeleka kwa mkuu wa shule au mwl.mkuu. sasa mleta mada uko type hiyo. hujaombwa hela ya pombe achana naye... unataka avute kwa kujificha......huo ni unafiki...
what to do mpatieni chumba chake mwenyewe....mtu mzima haulizwi umetoka wapi.
 
Jamii tunayoishi imejaa kila aina ya mambo sio kila jambo liletwe ktk forums.Ina maana siku mkeo akipika maharage yasipoiva utaleta huku tukushauri nini?
ndugu yangu labda nikwambie kitu kimoja, nimesema kuwa huyu mwalimu ni mgeni katika kazi na isitoshe kazi yetu ya ualimu ina miiko yake. hebu turudi kwenye point lengo la mimi kuja hapa kuomba ushauri ni kutaka kupata njia sahihi za kumfanya huyu mwalimu awe kwenye utaratibu unaoeleka wala sikua na maana ya kumdharirisha mwalimu mwenzangu.
 
Jitahidi kumshauri,ndivyo tulivyo. Hata wataalam wa masuala ya tabia wanasema watu wote hatuwezi kuwa na tabia za aina moja (we cannot act on the same manner,otherwise dunia itakuwa very bored) hivyo ht hizo deviant behaviour unazozichukia bado zina mchango mkubwa sn kwa jamii. Therefore you can't force a person to behave the way you want, cha muhimu hapo ni kuvumiliana tu na siajabu nae akawa kuna mambo hayampendezei toka kwako/kwenu ndio maana anafanya hivyom
 
ndugu yangu labda nikwambie kitu kimoja, nimesema kuwa huyu mwalimu ni mgeni katika kazi na isitoshe kazi yetu ya ualimu ina miiko yake. hebu turudi kwenye point lengo la mimi kuja hapa kuomba ushauri ni kutaka kupata njia sahihi za kumfanya huyu mwalimu awe kwenye utaratibu unaoeleka wala sikua na maana ya kumdharirisha mwalimu mwenzangu.

Mwalimu tena wa shule ya msingi bado una safari ndefu ya kupanga maisha yako tumia muda huu hata kujiendeleza kielimu kuliko kupiga majungu au umeridhika na hapo ulipo?
TAFAKARI
 
kwani hafundishi????????????..........................mwache mwenzio ale ujana maisha yenyewe yapo wapi
 
Lol bora pombe kuliko madem...asije ngoma bure.
 
ndani ya wiki moja mmefanya yote juu yake vikao, ushauri nk du nyie noma.
 
ndugu yangu labda nikwambie kitu kimoja, nimesema kuwa huyu mwalimu ni mgeni katika kazi na isitoshe kazi yetu ya ualimu ina miiko yake. hebu turudi kwenye point lengo la mimi kuja hapa kuomba ushauri ni kutaka kupata njia sahihi za kumfanya huyu mwalimu awe kwenye utaratibu unaoeleka wala sikua na maana ya kumdharirisha mwalimu mwenzangu.

Acha ukiranja wewe,ukiranja unaishia shuleni,hiyo ni kaz kama kaz zingine,acha unoko wewe
 
Tafuteni mzee mmoja wa kimakonde, mpeni mkanda wote na elfu kumi hivi, then endeleeni na kazi zenu tu kwani kila akichelewa atakutana na simba mwisho wa siku ataacha kabisa pombe. Au unajifanya hujui sayansi mwitu a.k.a bluetooth za kiafrika?
 
Nakula ujana...yani ndio umenileta kunishitak jf?leo nakuvutia bangi ili unitambue vizuri
 
Ni katika shule ya msingi limbende iliyopo halmashauri ya mtwara vijijini mkoa wa mtwara tumempata mwalimu mpya wa daraja la tatu A na tangu alipoti hapa kituo cha kazi hadi leo ametimiza wiki moja hivi, lakini cha kushangaza huyu mwalimu pamoja na ugeni wake katika kazi na hata katika jamii amekua akifanya mambo yake kanakwamba ana muda mrefu hapa, anakunywa pombe ovyo ovyo, anavuta bangi bila kujificha na mbaya zaidi akienda kunywa huchelewa kurudi nyumbani, huwa anarudi usiku wa saa tano hadi saa sita na huwa anatugongea ili tumfungulie na hufanya hivyo, na tumejaribu kuongea nae sisi walimu wenzake ili aache hiyo tabia lakini haonyeshi kubadilika. Naomba ushauri wenu wana jf kuhusu hili tatizo. Huyu mwalimu anatoka mkoa wa mara wilaya ya musoma. Ushauri tafadhari....
Mfanyieni mpango achonge funguo yake
 
Kwa jina lingine mleta mada naweza kukuita mbea,
Unajua taarifa ulizotoa zinamuhusu mtu mwenye dhamana ktk jamii?
Lengo lango ni kumdhalilisha.
Ni vyema ungetueleza mapungufu yako wewe ulionayo kwanza then utueleze ya mwenzako. AU wewe uko perfect kwa kila jambo?
TAFAKARI

Umenikumbusha ile kauli ya Jesus Christ, kwa wale jamaa waliotaka kumponda mawe yule mwanamana ambaye walidai ni mzinzi, alipowaambia yeyote kati yao ambaye hajawahi kutenda dhambi yoyote maishani mwake, awe wa kwanza kumrushia jiwe yule mama, ghafla wale jamaa, mmoja baada ya mwingine waliondoka eneo hilo kimya kimya bila ya hata kuaga!
 
Wewe kama mlezi. 1 mshauri,2 mtahadharishe, 3 mpe muda kabla hujasambaza matatizo yake kihivi,waliokuteua wamekuamini.
 

Kiongozi,
1 Kwani Una mtoto kwenye darasa analofundisha jamaa?

2 Vipi akishatumia mmea na pombe huwa anakutembezea kichapo?

3 Jamaa huwa anakutengemea kifedha ili akidhi mahitaji yake au wewe unamtegemea yeye?

4 Hakuna uwezekano wa kutengana mahali pa kulala/nyumba?

Kama huwezi kubadili mienendo yake,badili mienendo yako wewe!
 
Kwa jina lingine mleta mada naweza kukuita mbea,
Unajua taarifa ulizotoa zinamuhusu mtu mwenye dhamana ktk jamii?
Lengo lango ni kumdhalilisha.
Ni vyema ungetueleza mapungufu yako wewe ulionayo kwanza then utueleze ya mwenzako. AU wewe uko perfect kwa kila jambo?
TAFAKARI
Una mihemko ya kishoga shoga sana we dogo. Waarabu wamekuharibu
 
Back
Top Bottom