Meljons
JF-Expert Member
- Jun 25, 2012
- 3,105
- 1,409
unajua mashuleni kuna waalimu wanafiki kila wanachofanya wenzao wanapeleka kwa mkuu wa shule au mwl.mkuu. sasa mleta mada uko type hiyo. hujaombwa hela ya pombe achana naye... unataka avute kwa kujificha......huo ni unafiki...
what to do mpatieni chumba chake mwenyewe....mtu mzima haulizwi umetoka wapi.
what to do mpatieni chumba chake mwenyewe....mtu mzima haulizwi umetoka wapi.