ni mwalimu mkuu au mkuu wa shule?
pengine tulikuwa darasa moja au tulipishana mwaka mmoja...Kitemango alikuwa na back-up kubwa sana wizarani na pale mkoani Arusha...can you imagine headmaster kutumia gari kama lile alilokuwa akitumia? yote ilikuwa ni kushikwa mkono
Kwa maelezo ya vijana wale ni kuwa pamoja na mambo mengine alikuwa mbaguzi wa kidini.....kivipi?
acha utani kaka mi mbona nilikuwa frontline boy,acha tusiwape watu faida lets stand together and appreciate what has bn done by our little ones,upo hapo
general mutabuzi the perfect haya.anaitwa jeovinus mutabuzi...aka jr
Si headmaster tena bali ni mkuu wao. Yaani sasa yeye ni Afisaelimu Sekondari(wilaya) hukooooo Ngorongoro.Yeah nasikia jamaa ni mfanyabiashara mkubwa sasahivi japokuwa bado ni Headmaster kama sikosei Karatu High School
mkuu huyu ni THE HEADMASTER,xo its up to u!!
Inanikumbusha kunji kubwa 1993 or 1994 mwanzoni, Headmaster akiwa Mtui, kweli tunatoka mbali...So head-master na head-teacher kwa kiswahili ni kitu kimoja??