kubadirishana? mwenzako wamemsema kwa kosa hilohilo,zoezi la vyeti feki lina maana kubwa sana.Natafuta mwalimu Wa kubadirishana nae mie niko rombo wilaya nnazotaman kwenda ni lushoto na Hasa wilaya zilizopo pwani hata morogoro si mbaya
Bro Eiyer long time no see you mate,wapi ulikuwa tunamiss michango yako ya busara Mkuu.Yaani wewe ni mwalimu halafu unaandika "kubadirisha"!!!!!
Hao wanafunzi unaowafundisha watakuaje sasa?