Killmonger
JF-Expert Member
- Jan 11, 2015
- 2,027
- 2,250
Namsikiliza hapa kwenye uchambuzi wa Simba v Kagera ... katumia neno “improvisation”[emoji23][emoji23] kuelezea movement na kitendo alichofanya Kichuya kipindi hiki cha pili. Nachotaka kujua huyu jamaa ni kabila gani? Nahisi ni bojo huyu bwana na CV yake kwenye kabumbu ipoje ?