Mwalimu Kashasha

Mwalimu Kashasha

Killmonger

JF-Expert Member
Joined
Jan 11, 2015
Posts
2,027
Reaction score
2,250
Namsikiliza hapa kwenye uchambuzi wa Simba v Kagera ... katumia neno “improvisation” kuelezea movement na kitendo alichofanya Kichuya kipindi hiki cha pili. Nachotaka kujua huyu jamaa ni kabila gani? Nahisi ni bojo huyu bwana na CV yake kwenye kabumbu ipoje ?
 
Hahaha kasema tena “brass cuter pass “( sina uhakika na spellings)
 
Huwa ananifurahisha sana na maneno yake hata pale timu pinzani ikizidiwa sana anatumia maneno yenye staha kuikosoa.
 
Back
Top Bottom