Mkalukungone Mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 2,436
- 5,231
“Mungu alikuwa na kusudi lake kuipatia Pemba karafuu. Na kusudi hilo lilionekana miaka ya 70 na 80, utajiri wa watu wa Pemba ulivyotokana na karafuu. CCM walipoona watu wa Pemba wanafaidi na kujitegemea kiuchumi, wakaanza kulifisidi zao la karafuu,” aMEsema Mwalimu.
Amedai kuwa hatua hiyo ya CCM imesababisha kudhoofisha msingi wa kiuchumi wa wakazi wa Pemba, ambao kwa miongo kadhaa walitegemea karafuu kama chanzo kikuu cha mapato na ustawi wa jamii.
Amedai kuwa hatua hiyo ya CCM imesababisha kudhoofisha msingi wa kiuchumi wa wakazi wa Pemba, ambao kwa miongo kadhaa walitegemea karafuu kama chanzo kikuu cha mapato na ustawi wa jamii.