Nguva Jike
JF-Expert Member
- Jan 22, 2018
- 853
- 1,005
Hi mwajiriwa anaweza kuomba kwenda Jkt akapate ukakamavu?
Ili aikabili vizuri kazi ya ualimu, au hajapata kazi ya ualimu bado anatafuta jambo la kumshughulisha?Hi mwajiriwa anaweza kuomba kwenda Jkt akapate ukakamavu?
JKT Kuna Ukakamavu au kwenda KULIMA tu.Hi mwajiriwa anaweza kuomba kwenda Jkt akapate ukakamavu?
Inawezekana mwalimu,unaandika barua kwa mkuu wa kambu,Tena ukiwa mtumishi Ni fasta tu unachukuliwa,utaenda kwa mjibu wa Sheria ,hivyo waweza subiri wakati wanafunzi wa kidato na sita wanajiunga nawewe unajichomeka hapo,Ila Mimi nakushauri utafute pesa, Mimi mwenyewe nimepita huko, lakini bila pesa yote ni ubatiliHi mwajiriwa anaweza kuomba kwenda Jkt akapate ukakamavu?
Ukakamavu wa kushika Chaki ama kuchapa fimbo ama wa kusahihisha madaftari ya mazoeziHi mwajiriwa anaweza kuomba kwenda Jkt akapate ukakamavu?
Kukabiliana na wanafunzi watukutu hasa wa secondary. Kuna madogo wanavuta hadi cha Arusha huko.Ukakamavu wa kushika Chaki ama kuchapa fimbo ama wa kusahihisha madaftari ya mazoezi
Sent from my LM-Q730 using JamiiForums mobile app
MwajiriwaIli aikabili vizuri kazi ya ualimu, au hajapata kazi ya ualimu bado anatafuta jambo la kumshughulisha?