Nelson nely
JF-Expert Member
- Jan 25, 2014
- 4,251
- 2,870
hajajiua kauwawa,ujichinje koromeo kweli??
Uliwahi kujiua kwa paracetamol na hukupata maumivu?Ana moyo, hayo maumivu aliyoyapata sipati picha. Si bora hata angejioverdose paracetamol akafa bila maumivu.
Anayetaka kuoa au kuolewa ni...Unamwonea wivu mwanamke tena umeoa single mama,,,wivu wa nn? Fukuza tu...lete mwengine
Najua composition yake, ndo maana ili kutuliza maumivu huwa mnapewa panadol.Uliwahi kujiua kwa paracetamol na hukupata maumivu?
Ukijua chemestry ya panadol unajua na kiwango cha maumivu ya kujiua kwa panadol. Haya bhanaNajua composition yake, ndo maana ili kutuliza maumivu huwa mnapewa panadol.
Aisee kumbe Mwenyezi Mungu mnamuandikaga kwa kifupi?!M/Mungu amlaze mahala panapostahili
Umeelewa lknAisee kumbe Mwenyezi Mungu mnamuandikaga kwa kifupi?!
Amechoka kusikia kila siku saa tano mke wake anakuwa analiwa na msela mwingine, ameona bora apishe zoezi hilo la kila saa tano...Mshaambiwa hakumkuta mkewe aliporudi home!… nadhani ni sababu kuu
Tabu kwelikweli..... Hii comment imenifuta majonzi ya kifo cha ticha.Mpumbavu huyo
Walimu mna matatizo sana