Matanga
JF-Expert Member
- Nov 13, 2019
- 2,281
- 3,973
Mwalimu George Ngalu wa Shule ya Sekondari Mahiwa iliyoko mkoani Lindi, Ijumaa ya tarehe 14/8 amehukumiwa kifungo cha miaka 30 baada ya kukutwa na hatia ya kujihusisha na mahusiano ya kingono na mwanafunzi wake wa kidato cha tano HGK 2019/20.
Mwalimu huyo alikamatwa mwezi Februari mwaka huu na walimu wenzake majira ya saa 10 jioni akiwa ndani na mwanafunzi huyo huku mwanafunzi akikutwa chumbani kwa mwalimu huku akiwa mtupu na alipopelekwa Hospitali kupimwa alibainika kuwa alifanya tendo la ngono na mwanafunzi alikiri.
Mwanafunzi alishafukuzwa shule.
Mwalimu huyo alikamatwa mwezi Februari mwaka huu na walimu wenzake majira ya saa 10 jioni akiwa ndani na mwanafunzi huyo huku mwanafunzi akikutwa chumbani kwa mwalimu huku akiwa mtupu na alipopelekwa Hospitali kupimwa alibainika kuwa alifanya tendo la ngono na mwanafunzi alikiri.
Mwanafunzi alishafukuzwa shule.