Kuna waislamu na wachilamu, hawa wamejaa chuki na kwa wasio waislamu kila kitu kwao ni udini ndio wanatanguliza.
Note nilichandika waislamu wanaoijuwa vizuri dini yao ni wakarimu sana.
Leo Markaz wanagawa nyama nenda uone wale waislamu kanzu wanachukuwa viroba vya nyama kwenda kuuza.