nkongu ndasu
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 22,532
- 6,628
mwakyembe kelele zote zile mwaka 2008 ilikuwa ni kutafuta vyeo.
masopakyindi
Kwa kweli sijaona hoja yako ndugu,
umetumia kigezo gani kumlinganisha mhe. Mwakyembe na mhe. Mwandosya
kwasababu kama ni political impact, mwakyembe yupo juu(nikimaanisha,he brought more change)
kama ni elimu, bado mwakyembe yupo juu
kama ni leadership skills, both ni viongozi but mwakyembe has been in various sectors and governmental positions and led in full effect.
and lastly kama ni kuhusu motive, i dont see whats the problem na kuchukua form mwishoni, kwasababu aliechukua mwanzo pia, sio guaranteed kwamba yeye yupo kimaslai ya jamii na sio binafsi, kwaiyo kwa wote ni kama bahati nasibu kwa mtanznia kutambua nani ndie kiongozi wa ukweli, na nani sie.
Mtoa post naona kachoka akili kweli kweli hv undugu wa mwakyembe umetoka wapi?kuwa mkoa mmoja si hoja ya kuachina kugombea nafasi,sie tunamkubali sana Mwakyembe kuliko huyo prof wako,mwambie apumzike kachoka
Zile pesa alizokwiba za mabehewa ya TRC na wewe umepata mgao?
Acha umbulula wewe km angeiba pesa ya mabehewa hayo mabehewa yangekuwa yamefika?nayangekuwa yanapeleka bidhaa kigoma na mwanza,tabora na sehemu nyingine?Mwakyembe anaweza tumpe nchi