Mwakyembe umetusaliti

Mwakyembe umetusaliti

masopakyindi

Kwa kweli sijaona hoja yako ndugu,
umetumia kigezo gani kumlinganisha mhe. Mwakyembe na mhe. Mwandosya
kwasababu kama ni political impact, mwakyembe yupo juu(nikimaanisha,he brought more change)
kama ni elimu, bado mwakyembe yupo juu
kama ni leadership skills, both ni viongozi but mwakyembe has been in various sectors and governmental positions and led in full effect.
and lastly kama ni kuhusu motive, i dont see whats the problem na kuchukua form mwishoni, kwasababu aliechukua mwanzo pia, sio guaranteed kwamba yeye yupo kimaslai ya jamii na sio binafsi, kwaiyo kwa wote ni kama bahati nasibu kwa mtanznia kutambua nani ndie kiongozi wa ukweli, na nani sie.

Mkuu you miss my point.
Pengine nieleze kirahisi Zaidi ili watu waelewe.
Pale UDSM Library kulikuwepo bango la statement ya Mwalimu.(hasa ilikuwa inahusu elimu)
"Katika kijiji kimoja chenye njaa, wanakijiji walimchagua kijana moja kati ya vijana wenye nguvu ili akawatafutie chakula kijiji kingine.
Wale wenye chakula haba wakampa chakula yule kijana aliyechaguliwa ili aifanye safari na kufika kijiij kingine, wangeenda vijana wote chakula kisingetosha na wote wasingefika.
Kwa hiyo wangekufa njiani na waliowaacha wasipate msaada waliotarajia."

Tafakari.
 
Mtoa post naona kachoka akili kweli kweli hv undugu wa mwakyembe umetoka wapi?kuwa mkoa mmoja si hoja ya kuachina kugombea nafasi,sie tunamkubali sana Mwakyembe kuliko huyo prof wako,mwambie apumzike kachoka
 
mwandosya alikua amelazwa hospitali ya ikulu chini ya uangalizi ndio maana alipewa ED sasa kapata nafuu anataka kazi pumzika baba mwandosya hao wanataka kula pesa yako tu
Mtoa post naona kachoka akili kweli kweli hv undugu wa mwakyembe umetoka wapi?kuwa mkoa mmoja si hoja ya kuachina kugombea nafasi,sie tunamkubali sana Mwakyembe kuliko huyo prof wako,mwambie apumzike kachoka
 
Zile pesa alizokwiba za mabehewa ya TRC na wewe umepata mgao?

Acha umbulula wewe km angeiba pesa ya mabehewa hayo mabehewa yangekuwa yamefika?nayangekuwa yanapeleka bidhaa kigoma na mwanza,tabora na sehemu nyingine?Mwakyembe anaweza tumpe nchi
 
Acha umbulula wewe km angeiba pesa ya mabehewa hayo mabehewa yangekuwa yamefika?nayangekuwa yanapeleka bidhaa kigoma na mwanza,tabora na sehemu nyingine?Mwakyembe anaweza tumpe nchi

Hata umeme wa Richmond tunautumia Kenge wewe.
 
Jembe Mwakyembeee...Prof. Hawezi zama hizii kapoozaa Sana'a. Mziki wa kizazi hiki ni wa Mwakyembe' s type...namaanisha Prof Muhongo...na Dr Magufulii....Hii team mwamaa weee itauaaa mtuu . madalalii wote watarudi kwaooo
 
Back
Top Bottom