masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,590
- 14,498
Kitendo cha mhe. Mwakyembe kuingia kinyang'anyiro cha urais mnamo uchaguzi wa mwezi Oktoba kwa kweli hakieleweki.
Hakieleweki zaidi kwa wale wadau wa CCM toka mkoa wa Mbeya.
Kutoka mkoani mioyo yetu na support ni kwa mh. Mwandosya, na hili limekuwa likifahamika toka alipotangaza nia.
Siyo siri, ukiwalinganisha Mwandosya na Mwakyembe kwa kigezo cha urais, Mwakyembe bado sana.
Mwakyembe si presidential material- yet.
Si kwamba napinga demokrasia kwa kumnanga Mwakyembe kutotumia haki yake ya kimsingi, la hasha.
Ila najiuliza kwa nini amejitokeza dakika za majeruhi?
Nitakuwa wa kwanza kushangaa kama Mwakyembe atapitishwa kugombea urais na chama chake cha CCM.
JIBU ninalolipata ni moja tu.
Mwakyembe karubuniwa katika mkakati wa kumhujumu Mwandosya katka kinyang'anyiro hicho.
Simple, DIVIDE AND RULE.
Mwakyembe umeniondolea ile heshima ndogo niliyokuwa nayo kwako.
Hakieleweki zaidi kwa wale wadau wa CCM toka mkoa wa Mbeya.
Kutoka mkoani mioyo yetu na support ni kwa mh. Mwandosya, na hili limekuwa likifahamika toka alipotangaza nia.
Siyo siri, ukiwalinganisha Mwandosya na Mwakyembe kwa kigezo cha urais, Mwakyembe bado sana.
Mwakyembe si presidential material- yet.
Si kwamba napinga demokrasia kwa kumnanga Mwakyembe kutotumia haki yake ya kimsingi, la hasha.
Ila najiuliza kwa nini amejitokeza dakika za majeruhi?
Nitakuwa wa kwanza kushangaa kama Mwakyembe atapitishwa kugombea urais na chama chake cha CCM.
JIBU ninalolipata ni moja tu.
Mwakyembe karubuniwa katika mkakati wa kumhujumu Mwandosya katka kinyang'anyiro hicho.
Simple, DIVIDE AND RULE.
Mwakyembe umeniondolea ile heshima ndogo niliyokuwa nayo kwako.