Kifulambute
JF-Expert Member
- May 8, 2011
- 2,539
- 755
hakuna project makini kwa tanzaniaMzalendo, mimi nafikili hiyo barabara itajengwa nje kidogo ya njia kuu za wanyama, Watanzania wanajua walifanyalo hawakurupuki.
hakuna project makini kwa tanzaniaMzalendo, mimi nafikili hiyo barabara itajengwa nje kidogo ya njia kuu za wanyama, Watanzania wanajua walifanyalo hawakurupuki.
wakenya mbona mnatung'ang'ania sana kwenye hii jumuia?
Mbona sisi atuwaingilii kwenye mambo yenu ya ki mungiki?
Barabara itajengwa, na tutaakikisha wanyama hawaji huko kenya, ili tuona hao wazungu mtawaonyesha nini... Mmezidi sana nyie, mbona sisi hatuwaingilii kwenye projects zenu? Kazi kulia lia, 'ecosystem' 'ecosystem'... Mara oohoo EAC, EAC... This time imekula kwenu..