fredito13
JF-Expert Member
- Sep 3, 2012
- 213
- 146
Wana JF,
Waziri wa uchukuzi Dr. Harrison Mwakyembe anafanya kazi za usalama wa taifa sasa hivi.
Ni Mwakyembe anayepambana na genge la wauza unga. Mwakyembe anapambana na wahamiaji haramu pale uwanja wa ndege wa JK Nyerere.
Sasa hivi Mwakyembe huyo huyo ameanzq kupambana na wezi wa mafuta ya serikali bandarini. Wezi hao wameunganisha mabomba kwenye matenki ya tipper na wanachukua mafuta watakavyo. Inashangaza kuona watu wa usalama wa taifa na polisi wapo na hayo yote bado yanatendeka.
Swali linalokuja hapa ni, usalama wa taifa wameshindwa kutimiza wajibu wao au Mwakyembe amewazidi ujanja kwenye kugundua na kufuatilia mambo?
Ni aibu kwa serikali yetu na vikosi vya usalqmq kushindwa kushughulikia mambo yenye athari kwa taifa, badala yake waziri wa uchukuzi ndio anafanya kazi za usalama.
Waziri wa uchukuzi Dr. Harrison Mwakyembe anafanya kazi za usalama wa taifa sasa hivi.
Ni Mwakyembe anayepambana na genge la wauza unga. Mwakyembe anapambana na wahamiaji haramu pale uwanja wa ndege wa JK Nyerere.
Sasa hivi Mwakyembe huyo huyo ameanzq kupambana na wezi wa mafuta ya serikali bandarini. Wezi hao wameunganisha mabomba kwenye matenki ya tipper na wanachukua mafuta watakavyo. Inashangaza kuona watu wa usalama wa taifa na polisi wapo na hayo yote bado yanatendeka.
Swali linalokuja hapa ni, usalama wa taifa wameshindwa kutimiza wajibu wao au Mwakyembe amewazidi ujanja kwenye kugundua na kufuatilia mambo?
Ni aibu kwa serikali yetu na vikosi vya usalqmq kushindwa kushughulikia mambo yenye athari kwa taifa, badala yake waziri wa uchukuzi ndio anafanya kazi za usalama.