Mwakyembe: Mavazi ya watu wetu siku hizi katika makanisa ni changamoto, ni afadhali misikitini wanavaa kistaarabu

Waziri Harrison Mwakyembe amefanya mkutano na viongozi wa madhehebu ya dini wenye lengo la kujadili "Imani na Uzalendo Kuelekea Uchumi wa Viwanda"

Mwakyembe ameongea haya:-
Dk Harrison Mwakyembe: Tunapozungumzia uzalendo, tunazungumzia mtu na uchungu wa Taifa lake.

Maadili ya taifa yatazidi kumomonyoka kama viongozi wa dini hamtasimama kidete kukemea na kuwajenga watu wetu kimaadili. Leo hii watoto wetu wanaangalia picha chafu katika simu zao za mkononi halafu tunasingizia utandawazi, hili halikubaliki. Tushirikiane katika kukemea upotoshaji wa maadili kwa kusingizia utandawazi

Mavazi ya watu wetu siku hizi katika makanisa yanakuwa changamoto, ni afadhali kidogo katika misikiti ambako wanavaa kistaarabu. Mkutano huu ndo uwe kioo cha kurekebisha hali hiyo. Viongozi wetu tuwe mstari wambele katika kurekebisha mavazi ya waumini wetu ili kurudisha maadili ya taifa. Nawaomba msichoke kuimba kuhusu mavazi stahiki yanayoendana na maadili ya taifa.


Chanzo: Habari leo facebook
Asumie neno msikitini afadhali kidogo aseme tu misikitini wanavaa kistaarabu ila kanisani Mungu wetu hajali hata tukienda uchi kabisa imani ni moyoni,ngoja tuache wafu mzikane.
 
Had kufikia hapa huu uz hauna hata kapicha ka kusafisha macho

Aisee tupien ka picha bas kamoja ka kanisan na kamoja ka msikitin
 
Nani kamwambia aangalie mavazi badala ya kufuata kilichompeleka kanisani. Au kwa vile Linah hayupo
 
Waziri Harrison Mwakyembe amefanya mkutano na viongozi wa madhehebu ya dini wenye lengo la kujadili "Imani na Uzalendo Kuelekea Uchumi wa Viwanda"

Mwakyembe ameongea haya:-
Dk Harrison Mwakyembe: Tunapozungumzia uzalendo, tunazungumzia mtu na uchungu wa Taifa lake.

Maadili ya taifa yatazidi kumomonyoka kama viongozi wa dini hamtasimama kidete kukemea na kuwajenga watu wetu kimaadili. Leo hii watoto wetu wanaangalia picha chafu katika simu zao za mkononi halafu tunasingizia utandawazi, hili halikubaliki. Tushirikiane katika kukemea upotoshaji wa maadili kwa kusingizia utandawazi

Mavazi ya watu wetu siku hizi katika makanisa yanakuwa changamoto, ni afadhali kidogo katika misikiti ambako wanavaa kistaarabu. Mkutano huu ndo uwe kioo cha kurekebisha hali hiyo. Viongozi wetu tuwe mstari wambele katika kurekebisha mavazi ya waumini wetu ili kurudisha maadili ya taifa. Nawaomba msichoke kuimba kuhusu mavazi stahiki yanayoendana na maadili ya taifa.


Chanzo: Habari leo facebook
Asante Mwakyembe kwa kuliona tatizo ya mavazi makanisani.Inachefua kwa kweli.Jambo la ajabu ni kwamba wapo wanaojiita watumishi wa Mungu ambao mimi nawaita watumishi wa Mungu uchwara, ambao wanasema eti mambo ya mwilini, yakiwepo mavazi, si jambo la msingi sana.Wanadai eti jambo la msingi ni roho ya mtu.Watumishi hawa uchwara wanasahau kwamba, muumini anaevaa vi-top na vigauni vinayvo bana makalio, hawezi kuwa salama kufuatana na Luka 6:43-45.Luka 6:45 ni very specific and to the point,inasema,"Mtu mwema katika hazina njema ya moyo wake hutoa yaliyo mema,na mtu mwovu katika hazina mbovu ya moyo wake,hutoa yaliyo maovu;kwa kuwa mtu kinywa chake hunena yale yaujazayo moyo wake." Maneno haya aliyasema Bwana Yesu mwenyewe. Kufuatana na maandiko haya, ni wazi kwamba mtu anayevaa viguo vya ajabu ajabu hayuko salama.Watumishi waache kupotosha watu na waumini wao,wafanye kazi waliyoitiwa na Mungu ya kurekebisha jamii,kama kweli wameitwa, waache kupiga chenga na kufuga maovu makanisani.
 
Waziri Harrison Mwakyembe amefanya mkutano na viongozi wa madhehebu ya dini wenye lengo la kujadili "Imani na Uzalendo Kuelekea Uchumi wa Viwanda"

Mwakyembe ameongea haya:-
Dk Harrison Mwakyembe: Tunapozungumzia uzalendo, tunazungumzia mtu na uchungu wa Taifa lake.

Maadili ya taifa yatazidi kumomonyoka kama viongozi wa dini hamtasimama kidete kukemea na kuwajenga watu wetu kimaadili. Leo hii watoto wetu wanaangalia picha chafu katika simu zao za mkononi halafu tunasingizia utandawazi, hili halikubaliki. Tushirikiane katika kukemea upotoshaji wa maadili kwa kusingizia utandawazi

Mavazi ya watu wetu siku hizi katika makanisa yanakuwa changamoto, ni afadhali kidogo katika misikiti ambako wanavaa kistaarabu. Mkutano huu ndo uwe kioo cha kurekebisha hali hiyo. Viongozi wetu tuwe mstari wambele katika kurekebisha mavazi ya waumini wetu ili kurudisha maadili ya taifa. Nawaomba msichoke kuimba kuhusu mavazi stahiki yanayoendana na maadili ya taifa.


Chanzo: Habari leo facebook
Huyu ANAWASHWAWASHWA sasa anatuchokoza Wakristo!
 
Apeleke muswada kwa wazee wa ndioooo apitishe wavae kanzu kanisani......maana anajiona yeye ndio polisi wa uhuru wa watu na , imani zaooo.........mgane huyu anasumbua na matamko yake!! Ameletewa Shonza akombe kombe nnya iliyobakia
 
Misikitini tunaabudu Mungu wa kweli asiye na shaka na ndio maana tunavaa kwa nidham huko kwingine maonyesho ya mavazi
 
We jamaa
Huwa nikirejea kwenye vazi la kwanza alilotengenezewa Adam na Hawa, huwa napata kigugumizi kulaumu mtu juu ya mavazi.
Adam na Hawa walishonewa vazi kutokana na ngozi ya mnyama mdogo.. Huenda alikuwa Mbuzi, Swalla au hata Sungura.
Na watu wa kale walikuwa mapande ya watu, Le Mutuz alikuwa mbilikimo kwa watu wa enzi hizo.
Sasa kama ngozi ya mnyama mdogo iliwatosha watu wawili, uwe na uhakika watu hao hawakushonewa suti, kanzu wala dera!
We jamaa acha kuchekesha,eti lemutuz alikuaje,haaa
 
Awafungie tu! Maana ndo kazi yake ya kwanza, ndo angepewa jina la 'kufuli'
 
ameenda kuomba mungu au kuangalia makalio ya kina mama.km mtu una imani kweli hata hayo makalio huyaoni.Bunge lenyewe lilisema kama anakukera kwa nn umwangalie ?
 
Back
Top Bottom