Mwakyembe amesema kupitia yeye ni lazima Diamond na Ali Kiba wakae pamoja kwa kuwa yeye ni baba yao, amemuagiza mkurugenzi anayehusika awapelekee ujumbe huo
yeye na bosi wake PhD zao zinatilia mashaka na ukihoji unapotezwa kama Ben eight o'clockHawa jamaa ndio wana fanya watu tusipende kusoma PhD kwa sababu ya upuuz wao
KituuNadhani angewaita Makonda na Clouds au Vyombo vya Habari vyote vya Tanzania ili aweze kuondoa tofauti zao ningemwona wa maana mno ila kwa upuuzi huo anaotarajia kuufanya sasa GENTAMYCINE natangaza rasmi kutoitambua Shahada ya Uzamivu ( Philosophy of Doctorate / PhD ) ya Bwana Harrison Mwakyembe na pia sasa nitaanza kuwatilia shaka wale wote wenye PhD zao hapa nchini Tanzania.
KituuKwani siku hizi mganga anamfuata mwenye shida? kwani kina Diamond na Kiba wana Bifu? Mashabiki wao ndio wana bifu wao hawana tatizo lolote, by the way inamaana waziri hajui kuwa bifu la hao viumbe ni la kibiashara zaidi? Hata kama mkubwa anatakiwa kumwamrisha mdogo but NOT TO THAT EXTENT.
Hawa jamaa ndio wana fanya watu tusipende kusoma PhD kwa sababu ya upuuz wao