PROF NDUMILAKUWILI
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 10,521
- 13,110
Nadhani angewaita Makonda na Clouds au Vyombo vya Habari vyote vya Tanzania ili aweze kuondoa tofauti zao ningemwona wa maana mno ila kwa upuuzi huo anaotarajia kuufanya sasa GENTAMYCINE natangaza rasmi kutoitambua Shahada ya Uzamivu ( Philosophy of Doctorate / PhD ) ya Bwana Harrison Mwakyembe na pia sasa nitaanza kuwatilia shaka wale wote wenye PhD zao hapa nchini Tanzania.