Mwakyembe amesema kupitia yeye ni lazima Diamond na Ali Kiba wakae pamoja kwa kuwa yeye ni baba yao, amemuagiza mkurugenzi anayehusika awapelekee ujumbe huo
Hawa jamaa ndio wana fanya watu tusipende kusoma PhD kwa sababu ya upuuz waoNadhani angewaita Makonda na Clouds au Vyombo vya Habari vyote vya Tanzania ili aweze kuondoa tofauti zao ningemwona wa maana mno ila kwa upuuzi huo anaotarajia kuufanya sasa GENTAMYCINE natangaza rasmi kutoitambua Shahada ya Uzamivu ( Philosophy of Doctorate / PhD ) ya Bwana Harrison Mwakyembe na pia sasa nitaanza kuwatilia shaka wale wote wenye PhD zao hapa nchini Tanzania.
Bwana Misosi,Kiki. King Kikii. Kiki. Nitoke vipi?