Mwakyembe atimiza ahadi kwa kumwaga mapesa

Mwakyembe atimiza ahadi kwa kumwaga mapesa

Wewe ndiyo unaota uku unatembea na ujuwi ulia wala kushoto, wakumtoa mwakyembe kyela bado ajazaliwa wala chama akijaundwa, naona una upeo mdogo wa kufiri.
 
Hawa wabunge wa CCM ni majanga makubwa.

Ebu angalieni hapa Mwakyembe mbunge wa Kyela katuma wasaidizi kwenda kwenye kijij kimoja Kyela na kuwapa pesa eti anatimiza ahadi zake za kufufua maji.Pembeni mwenyekiti wa CCM wa wilaya anashuhudia na kushangilia.

Kama kuna tatizo la maji kwanii asiweke mafundi na badala yake anatoa pesa cash? Ukawa, hili jimbo tulichukue halina mtu.

Kwa mwendo huu kweli jimbo halina mtu. Hii ni hongo ya mchana kweupe. Hivi kweli wananchi wanataka cash kutoka kwa mbunge? Ndiyo maana bila shaka kunakuwapo na mabehewa chakavu.
 
Kweli zile pesa za kununua mabehew mabovu ndio sasa zinapelekwa kwenye uchaguzi.

Kwa mwendo huu kweli jimbo halina mtu. Hii ni hongo ya mchana kweupe. Hivi kweli wananchi wanataka cash kutoka kwa mbunge? Ndiyo maana bila shaka kunakuwapo na mabehewa chakavu.
 
Acha umburula wewe hy hela ni kwa ajili ya kutatua matizo ya ufundi,mafundi tayari wapo,mie nilikuwepo hapo wakati eanakabidhi,mtoa post umeandika kishabiki sn Mwakyembe hamumuwezi nyie ukawa

Vipo kata gani hivyo vijiji mkuu
 
Mkataba wa kuuza bandari ya Mtwara plus Mabehewa ya Treni ... naona Mgawo wanapewa wanaccm wa Kyela ... Haya MAFISADI wa CCM wako predictable sana ...

attachment.php
 
Acha umburula wewe hy hela ni kwa ajili ya kutatua matizo ya ufundi,mafundi tayari wapo,mie nilikuwepo hapo wakati eanakabidhi,mtoa post umeandika kishabiki sn Mwakyembe hamumuwezi nyie ukawa

Mifupa sidhani kama unajua lolote kuhusu siasa za Kyela!

Kisima kilicho chimbwa na wafadhili Ikolo kinahitaji zaidi ya tsh Milion 100 kukarabatiwa na Ikolo wanahitaji wapelekewe wataalam wa Maji sio mahela!Dr Mwakyembe pesa hizi ni kujaribu ku defuse joto la uchaguzi hata ktk kijiji anachotoka cha Ikolo

Ona hapo anampa pesa hizo mlafi na asiye na maadili Richard Kilumbo!Pesa hizo zimeishaliwa

Mwakyembe hata kura za maoni ndani ya CCM hawezi pita acha mbali kufika kupambana na UKAWA
 
Vipo kata gani hivyo vijiji mkuu

Kikolo huyu kajisemea tu wala haijui Kyela na si ajabu hajawahi hata fika

Pesa hizi alizitoa Ikolo baada ya ahadi yake ya 2010 kama atafufua mabomba ya DANIDA kukwama!Dr Mwakyembe hawezi hutubia hata kijijini kwao Ikolo majirani wanamzomea

Labda aende kugombea Kawe kama anavyo taka kufanya sasa lkn sio Kyela
 
Kama mchakato mzima wa ujenzi wa visima ulishapatika na kiasi cha pesa kinacho itajika kinajulikana,mlitaka mwakyembe apeleke makaratasi badala ya pesa.kufikiri mnaweza kushindana na mwakyembe kwa hoja za kitoto namna hii ni upuuzi kuliko upuuzi wenyewe
 
Kwa mwendo huu kweli jimbo halina mtu. Hii ni hongo ya mchana kweupe. Hivi kweli wananchi wanataka cash kutoka kwa mbunge? Ndiyo maana bila shaka kunakuwapo na mabehewa chakavu.
Nyie ukawa mnamatatizo ya kufikiri
 
Kama mchakato mzima wa ujenzi wa visima ulishapatika na kiasi cha pesa kinacho itajika kinajulikana,mlitaka mwakyembe apeleke makaratasi badala ya pesa.kufikiri mnaweza kushindana na mwakyembe kwa hoja za kitoto namna hii ni upuuzi kuliko upuuzi wenyewe
Kitukuu, hawa jamaa wanaojiita ukawa wanamatatizo makubwa katika fikra zao.
Ukweli ni kwamba Mh Mwakyembe alifanya mikutano ya hadhara katika vijiji vya Ikolo na Bujonde,katika mikutano hiyo wananchi waliibua hoja ya kwamba kuna haja ya kuboresha miundombinu ya maji katika maeneo Yao.
Mh Mwakyembe akatoa ahadi mbele ya mkutano ule wa hadhara shilingi milioni 10.Sasa ahadi Ile Mh Mwakyembe ameitimiza . Si kitu cha ajabu kwa Mbunge yoyote kutoa hadharani ahadi ambayo aliahidi kwa wananchi wake. Kwa kuwa aliahidi hadharani ni lazima ahadi itolewe hadharani ili wananchi waone mbunge wao anatimiza ahadi. Sasa tatizo hapa liko wapi. Mlitaka Mh Mwakyembe apeleke makaratasi kwa wananchi. Acheni siasa za maji taka.
Hamtaweza kuchukua jimbo la Kyela kwa siasa za zenu za chuki. Jipangeni
 
Wewe ndiyo unaota uku unatembea na ujuwi ulia wala kushoto, wakumtoa mwakyembe kyela bado ajazaliwa wala chama akijaundwa, naona una upeo mdogo wa kufiri.
nimekudharau sana mkuu ! kwanini asitoke wakati ameshindwa uongozi ? njaa itakumaliza mjomba ; ni hivi mwakyembe ndiye mbunge wa mwisho kuwakilisha ccm kyela , chukua hiyo kama ulikuwa hujui , tumechoks na kipindupindu na kichocho , kangi tukatele fijo , tukuti ndaga abandu bha UKAWA abha kyala abhatwele ukutupoka twe bhalondo .
 
Kama mchakato mzima wa ujenzi wa visima ulishapatika na kiasi cha pesa kinacho itajika kinajulikana,mlitaka mwakyembe apeleke makaratasi badala ya pesa.kufikiri mnaweza kushindana na mwakyembe kwa hoja za kitoto namna hii ni upuuzi kuliko upuuzi wenyewe
mwakyembe tutamshinda kiurahisi kuliko unavyodhani , hivi tangu awe mbunge amefanya nini kyela cha kupigiwa mfano ? zaidi ya kunywa supu SATIVA HOTEL , Uoga ni aibu sana ! wiki moja cdm baada ya kuchukua mji mdogo wamefufua visima 6 ! sasa usichoamini wewe ni nini ? kwa mfano kata ya ikimba ni kipi alichofanya Diwani Haleluya ? ccm ni wepesi kuliko pamba ! tutawapiga vibaya sana , subiri uone .
 
Wewe ndiyo unaota uku unatembea na ujuwi ulia wala kushoto, wakumtoa mwakyembe kyela bado ajazaliwa wala chama akijaundwa, naona una upeo mdogo wa kufiri.

Wewe usidanganye watu, Mwakyembe mwenyewe anajua vizuri kuwa Kete yake KYELA haipo kwa sasa, hata ccm wenzie washamkataa na kuandaa wagombea wengine, yeye hapo amalizie miezi yake kisha atafute chaka jingine, ila kyela aisee!!! HAPATI Hata.
 
Back
Top Bottom