muheza2007
JF-Expert Member
- Mar 19, 2010
- 483
- 771
Hawa wabunge wa CCM ni majanga makubwa.
Ebu angalieni hapa Mwakyembe mbunge wa Kyela katuma wasaidizi kwenda kwenye kijij kimoja Kyela na kuwapa pesa eti anatimiza ahadi zake za kufufua maji.Pembeni mwenyekiti wa CCM wa wilaya anashuhudia na kushangilia.
Kama kuna tatizo la maji kwanii asiweke mafundi na badala yake anatoa pesa cash? Ukawa, hili jimbo tulichukue halina mtu.
Ebu angalieni hapa Mwakyembe mbunge wa Kyela katuma wasaidizi kwenda kwenye kijij kimoja Kyela na kuwapa pesa eti anatimiza ahadi zake za kufufua maji.Pembeni mwenyekiti wa CCM wa wilaya anashuhudia na kushangilia.
Kama kuna tatizo la maji kwanii asiweke mafundi na badala yake anatoa pesa cash? Ukawa, hili jimbo tulichukue halina mtu.