Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,550
- 6,062
Hivi kwa nini Mwakyembe anasema wananchi waishitaki BARRICK?
Yeye si mwana sheria na wana kampuni yao kabisa ya uwakili?
Kwa nini wasijitolee kwenda kuwakusanya watu na kuipandisha Barrick mahakamani?
Kuna ile film alicheza Julia Roberts, ya kufichua kampuni inayomwaga sumu. Hiyo kweli ilitokea na mama alikuwa ni karani tu kama sikosei. Sasa hawa Wanasheria wetu na tena ni Dr na msomi kama anavyojiita/itwa, kwa nini asilivalie hili njuga?
Ninavyofahamu uwezo wa Mwakyembe ni mkubwa sana kudeal na mambo ya UBUNGE. Nafikiri hili la kugaragazana na Barrick lingelifanya kichwa chake kichemke kidogo kama si sanaa maana ninavyojua hawa nao watakuwa na wanasheria wazuri sana.
Mwakyembe usiishie hapo. Labda hii kazi inakufaa zaidi hata ya UBUNGE yaani kutetea wananchi wote wa Tanzania na si Kyela peke yake..... Nenda huko na kawasaidie wana Mara kuishitaki hii kampuni na usiishie kusema Bungeni. Kelele zako haziishitui kabisa Barrick na Serikali....
Yeye si mwana sheria na wana kampuni yao kabisa ya uwakili?
Kwa nini wasijitolee kwenda kuwakusanya watu na kuipandisha Barrick mahakamani?
Kuna ile film alicheza Julia Roberts, ya kufichua kampuni inayomwaga sumu. Hiyo kweli ilitokea na mama alikuwa ni karani tu kama sikosei. Sasa hawa Wanasheria wetu na tena ni Dr na msomi kama anavyojiita/itwa, kwa nini asilivalie hili njuga?
Ninavyofahamu uwezo wa Mwakyembe ni mkubwa sana kudeal na mambo ya UBUNGE. Nafikiri hili la kugaragazana na Barrick lingelifanya kichwa chake kichemke kidogo kama si sanaa maana ninavyojua hawa nao watakuwa na wanasheria wazuri sana.
Mwakyembe usiishie hapo. Labda hii kazi inakufaa zaidi hata ya UBUNGE yaani kutetea wananchi wote wa Tanzania na si Kyela peke yake..... Nenda huko na kawasaidie wana Mara kuishitaki hii kampuni na usiishie kusema Bungeni. Kelele zako haziishitui kabisa Barrick na Serikali....