Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,011
- 9,876
Bondia wa Tanzania Hassan Mwakinyo amesema hana mpango wa kupigana na bondia yoyote kutoka ndani ya nchi, amewataka wanaomzungumzia waache kumfikiria
Mwakinyo anatarajia kupigana na Julius Indongo, kutoka Namibia Septemba 3, 2021 wakipigania mkanda wa African Boxing Union Super Walter Title
Mara kadhaa bondia wa Twaha Lubaha maarufu kama Twaha Kiduku amekuwa akitamka kutaka pambano na Hassan Mwakinyo
Mwakinyo anatarajia kupigana na Julius Indongo, kutoka Namibia Septemba 3, 2021 wakipigania mkanda wa African Boxing Union Super Walter Title
Mara kadhaa bondia wa Twaha Lubaha maarufu kama Twaha Kiduku amekuwa akitamka kutaka pambano na Hassan Mwakinyo