Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 17,454
- 21,158
Hakika mwaka jana (2023) ulikuwa mwaka mzuri sana kwenye upande wa boxing ,tulishuhudia mapambano ya kukata na shoka, linatoka hili linakuja lile, mfano Terence Crawford vs Errol Spence, Gervonta Davis (Kwa sasa Abdul Wahid) Vs Ryan Garcia, Devin Haney vs Vasily Lomachenko nk.
Mwaka huu Sasa haya ndio mapambano ambayo nina hamu nayo sana kuyaona.
1) Artur Beterbiev vs Dmitry Bivol
Artur rekodi yake imetakata sana, amepigana mapambano 20 na yote 20 ameshinda kwa K.O , ametoka kupigana juzi dhidi ya Callium Smith na ameshinda kwa K.O raundi ya 7.
Binafsi karata yangu nampa Bivol , huwa Sina imani sana na hawa K.O artist.
2)Jason Ennis vs Terence Crawford.
Hili pia litakuwa pambano kali sana na ni ngumu mno kutabili.
3) Hassan Mwakinyo vs Asemahle Wellem.
Wellem anapambano March 1 dhidi ya Selemani Kidunda , japo binafsi nampa 66% Wellem kushinda.
Wellem na Hassan pambano litakuwa kali sana na litavutia mno.
4) Devin Haney vs Gervonta Davis.
5) Shakur Stevenson vs Gervonta Davis/Devin Haney.
6) Oleksandr Usyk vs Tyson Fury.
7) Nasibu Ramadhan Vs Said Bwanga.
8) Anthony Joshua vs Tyson Fury.
9) Natasha Jonas vs Claresa Shields
10) Benavidez vs Canelo.
Naoya Inoue apande uzito kutafuta challenge mpya, kwenye Bantamweight hana mpinzani.
Mwaka huu Sasa haya ndio mapambano ambayo nina hamu nayo sana kuyaona.
1) Artur Beterbiev vs Dmitry Bivol
Artur rekodi yake imetakata sana, amepigana mapambano 20 na yote 20 ameshinda kwa K.O , ametoka kupigana juzi dhidi ya Callium Smith na ameshinda kwa K.O raundi ya 7.
Binafsi karata yangu nampa Bivol , huwa Sina imani sana na hawa K.O artist.
2)Jason Ennis vs Terence Crawford.
Hili pia litakuwa pambano kali sana na ni ngumu mno kutabili.
3) Hassan Mwakinyo vs Asemahle Wellem.
Wellem anapambano March 1 dhidi ya Selemani Kidunda , japo binafsi nampa 66% Wellem kushinda.
Wellem na Hassan pambano litakuwa kali sana na litavutia mno.
4) Devin Haney vs Gervonta Davis.
5) Shakur Stevenson vs Gervonta Davis/Devin Haney.
6) Oleksandr Usyk vs Tyson Fury.
7) Nasibu Ramadhan Vs Said Bwanga.
8) Anthony Joshua vs Tyson Fury.
9) Natasha Jonas vs Claresa Shields
10) Benavidez vs Canelo.
Naoya Inoue apande uzito kutafuta challenge mpya, kwenye Bantamweight hana mpinzani.