Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 36,853
- 49,286
Lolote linawezekana boss, hata Yanga pia wapo kwenye mbio za ubingwa.Kuna watu wanawadanganya yanga watakuwa mabingwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Mechi zimebaki 7 ambazo ni point 21.
Yanga kamzidi Simba points 8.
Unapata wapi kiburi Cha kuwapa yanga ubingwa?View attachment 2221686
Tate Mkuu ukikaidi utapigwa2