Ndugu Mshana yanga tunajielewa ndiyo maana mambo yetu yanaenda hatukwami na hatumkwamishi yeyote.Ila ccm/ Chamatwawala wamekwama na wanakwamisha kila mmoja.Mwaka wa taabu tena? Huku chama chawala huku Yanga.. Kwani mganga wao nani?
Tumewachoka sass🥱View attachment 3473727
Hayo tunawaachia Chamatwawala na wanamtandao wao.Nyie wachawi sana halafu mnapenda sana magoli ya mkono kama ccm🤣
Sio tu offside mkuu, pacome ma bleach alimpa bega mkaburu na ikafunikwa.Yanga wachawi Sana na lile goli lilikuwa offside
Chawieni na nyie, offside kivipi mkuu?Yanga wachawi Sana na lile goli lilikuwa offside
Poleni mno kuna mwenzenu huku mama muuza genge mwanzo wa gemu alikuwa na tabasamu kweli, gemu imeisha narudi gengeni nakutana na mtu kama kala pilipili nikajiroga kumpa pole mbona nilijuta amesema nifanye juu chini game zijazo marefa wawe wazungu 🤣🤣🤣🤣🤣Nasubiri atakaye comment ujinga wakati watu tuna machungu🥴View attachment 3473790
HahahahaPoleni mno kuna mwenzenu huku mama muuza genge mwanzo wa gemu alikuwa na tabasamu kweli, gemu imeisha narudi gengeni nakutana na mtu kama kala pilipili nikajiroga kumpa pole mbona nilijuta amesema nifanye juu chini game zijazo marefa wawe wazungu 🤣🤣🤣🤣🤣
Sasa sijui nimegeuka GSM au Engineer
Yanga wachawi Sana na lile goli lilikuwa offside
Simba anafaini za uchawi kabisaYanga wachawi Sana na lile goli lilikuwa offside