mwaka wa pili sasa!

mwaka wa pili sasa!

korino

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2011
Posts
1,014
Reaction score
684
habari zen ndugu zangu! ni mdada wa miaka 26 sasa jamani tangia nihitimu chuo mwaka juzi july mpaka leo cjapata kazi wallah! nafanya application ziczo na kikomo yanni lkn wap! nimejitolea sehemu km mbili hv lkn nimeacha ktokana na kwamba hawanipi hata hela kumi so hata ya usafiri nakuwa nakosa sasa! dah! nina bachelor ya business administration! nisaidie jamani angalau pakushkiza....huko tigo,voda n.k cstomer care pia nakutaka! du c mchezo....website nyingi za kazi nazpitia kila baada ya nusu saa nafanya application online n kwa posta lkn bado jaman
 
Du! Aisee! Ungesomea ualimu sahizi unahesabu cku tu loh! Pole lakini ! Endelea kutafuta usikate tamaa !! Ngoja mabosi waje !!
 
habari zen ndugu zangu! ni mdada wa miaka 26 sasa jamani tangia nihitimu chuo mwaka juzi july mpaka leo cjapata kazi wallah! nafanya application ziczo na kikomo yanni lkn wap! nimejitolea sehemu km mbili hv lkn nimeacha ktokana na kwamba hawanipi hata hela kumi so hata ya usafiri nakuwa nakosa sasa! dah! nina bachelor ya business administration! nisaidie jamani angalau pakushkiza....huko tigo,voda n.k cstomer care pia nakutaka! du c mchezo....website nyingi za kazi nazpitia kila baada ya nusu saa nafanya application online n kwa posta lkn bado jaman

usikate tamaa ata kidogo. Peleka cv yako pale NIDA wanataka data entry cleck kama 200 ukiwa una omba sehemu nyingine.
 
usikate tamaa ata kidogo. Peleka cv yako pale NIDA wanataka data entry cleck kama 200 ukiwa una omba sehemu nyingine.

nida iko wap ndg yangu?maeneo gan naamaanisha?me nko tanga bt kazi popote
 
Du! Aisee! Ungesomea ualimu sahizi unahesabu cku tu loh! Pole lakini ! Endelea kutafuta usikate tamaa !! Ngoja mabosi waje !!

yaan we acha tu! wala nicngepata pengine.
 
nenda kasome teaching! by the way 26 yrs of age mbona bado sana km vipi tafuta kwanza MME ili uolewe upoze machungu then kazi utapata tu dada angu
 
Ila mbona BBA hawazunguki na bahasha kama unavyosema? au ndo tuamini kuwa tanzania yetu ni ya kumjua nani hatujali unajua nini?

mi nahitamania hiyo BBA nahis ningedrive mapema kama best aliyosoma hiyohiyo
 
habari zen ndugu zangu! ni mdada wa miaka 26 sasa jamani tangia nihitimu chuo mwaka juzi july mpaka leo cjapata kazi wallah! nafanya application ziczo na kikomo yanni lkn wap! nimejitolea sehemu km mbili hv lkn nimeacha ktokana na kwamba hawanipi hata hela kumi so hata ya usafiri nakuwa nakosa sasa! dah! nina bachelor ya business administration! nisaidie jamani angalau pakushkiza....huko tigo,voda n.k cstomer care pia nakutaka! du c mchezo....website nyingi za kazi nazpitia kila baada ya nusu saa nafanya application online n kwa posta lkn bado jaman

Vumilia tu dada,mateso yakizidi ujue neema ndo inakaribia cha msingi usikate tamaa mungu bdo hajakufungulia njia jipe moyo utashinda.
 
Du! Aisee! Ungesomea ualimu sahizi unahesabu cku tu loh! Pole lakini ! Endelea kutafuta usikate tamaa !! Ngoja mabosi waje !!
Munkari saa zingine utafanya mtu atamani kukuchapa kofi.....ualimu tena? teh teh
 
habari zen ndugu zangu! ni mdada wa miaka 26 sasa jamani tangia nihitimu chuo mwaka juzi july mpaka leo cjapata kazi wallah! nafanya application ziczo na kikomo yanni lkn wap! nimejitolea sehemu km mbili hv lkn nimeacha ktokana na kwamba hawanipi hata hela kumi so hata ya usafiri nakuwa nakosa sasa! dah! nina bachelor ya business administration! nisaidie jamani angalau pakushkiza....huko tigo,voda n.k cstomer care pia nakutaka! du c mchezo....website nyingi za kazi nazpitia kila baada ya nusu saa nafanya application online n kwa posta lkn bado jaman
dada angu usikate tamaa mi nshapiga hadi zege we acha tu......
 
Munkari saa zingine utafanya mtu atamani kukuchapa kofi.....ualimu tena? teh teh

hajakosea kaka! kwa hili tatizo la ajira mda mweingne unafkiria hata bora ungesomea ualimu ukajua moja wallah
 
habari zen ndugu zangu! ni mdada wa miaka 26 sasa jamani tangia nihitimu chuo mwaka juzi july mpaka leo cjapata kazi wallah! nafanya application ziczo na kikomo yanni lkn wap! nimejitolea sehemu km mbili hv lkn nimeacha ktokana na kwamba hawanipi hata hela kumi so hata ya usafiri nakuwa nakosa sasa! dah! nina bachelor ya business administration! nisaidie jamani angalau pakushkiza....huko tigo,voda n.k cstomer care pia nakutaka! du c mchezo....website nyingi za kazi nazpitia kila baada ya nusu saa nafanya application online n kwa posta lkn bado jaman

Usikate tamaa hauko peke yako me pia km wewe ni msichana miaka 25 na nimemaliza mwaka jana BBA bt mpk leo hata hapo pa kujishikiza tuu as intern sijawah pata na matokeo mazuri tuu upper second ila sijakata tamaa bado na naaply mpk basi naamini kua kuna siku nami ntapata kazi. nataka nikutie moyo kazi ni ngumu best na usiumie uonapo walomaliza mbele yako wanapata mana kila mtu na bahati yake.
 
Back
Top Bottom