DON YRN
JF-Expert Member
- Jan 14, 2019
- 474
- 999
Sent using Jamii Forums mobile app
Na Mimi nakaribia kukacha masuala ya michango..Mpaka sasa kuna jamaa zangu kadhaa hatusalimiani sababu ya michango ya harusi.
selfish..Amini kwamba
Hayo maisha ya kuchangia watu kwenye harusi sijui sherehe yamepitwa na wakati aisee
Kila mtu apambane na hali yake tu maana hamna namna
Sent using Jamii Forums mobile app
Imagine nimemchangia mtu mwaka jana mwezi wa 11 harusi ilifanyika lkn leo hii napata taarifa kuwa wameachana, hiyo laki 1 niliyotoa km ningeamua kusaidia wasiojiweza hata kuwanunulia chakula nisingekuwa na thawabu kwa Mungu?.na ww siku ukitaka kuoa, hakikisha utapambana na hali yako, na uzuri nakujua vzr ole wako upitishe bakuri lako kwangu, utaniona jinsi ntakavyo kunyea!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Naamini uko kwenye maandalizi ya harusi wwna ww siku ukitaka kuoa, hakikisha utapambana na hali yako, na uzuri nakujua vzr ole wako upitishe bakuri lako kwangu, utaniona jinsi ntakavyo kunyea!!
Sent using Jamii Forums mobile app
ukitoa usikumbuke, kwan before hautoa hiyo hela uliwahi saidia wasio jiweza wangp!!?Imagine nimemchangia mtu mwaka jana mwezi wa 11 harusi ilifanyika lkn leo hii napata taarifa kuwa wameachana, hiyo laki 1 niliyotoa km ningeamua kusaidia wasiojiweza hata kuwanunulia chakula nisingekuwa na thawabu kwa Mungu?.
Sent using Jamii Forums mobile app