jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,053
- 28,245
Nani yupo nyuma ya huu mchakato mchafu wa kumchafua waziri wa Afya Ummy Mwalimu?
Kwa maoni yangu Waziri Ummy japo sio mhalisia katika sekta ya afya ...yaani sio mtaalamu wa afya lakini amejitahidi sana kuielewa sekta hii.ameitendea haki kwa kadri ya kipaji alichonacho.
Japo naona na napata hisia yupo mtu anayetaka atoke na mtu huyo anampiga majungu kimya kimya lakini pia kwa kuibua habari chonganishi za sekta ya afya akiwa na lengo la kuonesha Waziri hafai.Je mtu huyo ni nani?anataka nini na je anao uwezo wa kuisimamia sekta ya afya kuliko UMMY?
TUJADILI KWA HAKI!!
Kwa maoni yangu Waziri Ummy japo sio mhalisia katika sekta ya afya ...yaani sio mtaalamu wa afya lakini amejitahidi sana kuielewa sekta hii.ameitendea haki kwa kadri ya kipaji alichonacho.
Japo naona na napata hisia yupo mtu anayetaka atoke na mtu huyo anampiga majungu kimya kimya lakini pia kwa kuibua habari chonganishi za sekta ya afya akiwa na lengo la kuonesha Waziri hafai.Je mtu huyo ni nani?anataka nini na je anao uwezo wa kuisimamia sekta ya afya kuliko UMMY?
TUJADILI KWA HAKI!!