johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,940
- 141,915
Ni mwaka tutakaoukumbuka kama mwaka uliojaa majanga.
1. Kifo cha mwenyekiti wa CCM hayati Magufuli
2. Kukamatwa kwa mwenyekiti wa Chadema kwa tuhuma za ugaidi mh Mbowe
3.Kukamatwa kwa DC wa Hai mh Ole sabaya
4. Polisi wazalendo kuuawa na gaidi Hamza
5. Na kadhalika, na kadhalika.
Nawatakia sabato yenye baraka!
1. Kifo cha mwenyekiti wa CCM hayati Magufuli
2. Kukamatwa kwa mwenyekiti wa Chadema kwa tuhuma za ugaidi mh Mbowe
3.Kukamatwa kwa DC wa Hai mh Ole sabaya
4. Polisi wazalendo kuuawa na gaidi Hamza
5. Na kadhalika, na kadhalika.
Nawatakia sabato yenye baraka!