Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,619
- 46,258
Tafakari kama leo kungekuwa na wabunge wa upinzani angalau 40 wa kuchaguliwa katika bunge kutoka Tanzania bara wakishindana kwa hoja.
Tafakari maswali ambayo angekuwa anaulizwa Waziri mkuu kuhusu masuala mbalimbali na KUB bungeni kwa sasa
Tafakari bajeti za mawaziri vivuli ambazo zinakosekana bungeni kwa sasa ambazo zingeleta mawazo mbadala kwa serikali.
Kwa yeyote aliyefikiria au anayefikri ni sawa kukosekana kwa kambi ya upinzani bungeni alilikosea sana na analikosea sana taifa hili na vizazi vyake vingi mbeleni. Historia itamhukumu na kumsema vibaya siku zote.
Hakuna Tanzania bora itakayopatikana bila ushindani wa vyama vya siasa bungeni
Kujenga nchi huchukua muda mrefu sana ila kubomoa inahitaji muda mfupi sana.
Tafakari maswali ambayo angekuwa anaulizwa Waziri mkuu kuhusu masuala mbalimbali na KUB bungeni kwa sasa
Tafakari bajeti za mawaziri vivuli ambazo zinakosekana bungeni kwa sasa ambazo zingeleta mawazo mbadala kwa serikali.
Kwa yeyote aliyefikiria au anayefikri ni sawa kukosekana kwa kambi ya upinzani bungeni alilikosea sana na analikosea sana taifa hili na vizazi vyake vingi mbeleni. Historia itamhukumu na kumsema vibaya siku zote.
Hakuna Tanzania bora itakayopatikana bila ushindani wa vyama vya siasa bungeni
Kujenga nchi huchukua muda mrefu sana ila kubomoa inahitaji muda mfupi sana.