Ulikuwa ni umasikini tu hakuna asiyependa mambo mazuri labda mrisho mpoto tu
Teh teh teh,akiwa kwake pale Mkwajuni muda wote anavaa viatu hata akiwa kwenye gari lake anatoka muda wote yupo na viatu chini.Yule ni muigizaji, akijua tukio litakuwa na watu wengi na media coverage ndipo anapovaa magunia yake na kutembea peku peku.
The beautiful handwriting is lost, you people are good in using smart phones and gadgets.
Mnafik yule, asingekuwa anaendesha ile Nissan Patrol V8 badala yake angekuwa anaswaga punda au ng'ombe yeye akiwa nyuma trela ningemuelewaUlikuwa ni umasikini tu hakuna asiyependa mambo mazuri labda mrisho mpoto tu
Babu yangu mwenyewe alinisimulia anasema enzi za ukoloni huko mwaka 1927 yeye na wanafunzi wenzake walikuwa wanavaa kaniki au wanajifunga kanga kama vile watoto waliotoka kutahiriwa kisha wanaenda shule kama kilometa 12 yaani wanaondoka nyumban kwao saa 11 asubuhi wanarudi jioni.View attachment 1050432
Sikuhizi mtoto anagoma kwenda shule mpaka apate Jordan na NIKE
Na waliokwenda shule walihakikishiwa ajiraBabu yangu mwenyewe alinisimulia anasema enzi za ukoloni huko mwaka 1927 yeye na wanafunzi wenzake walikuwa wanavaa kaniki au wanajifunga kanga kama vile watoto waliotoka kutahiriwa kisha wanaenda shule kama kilometa 12 yaani wanaondoka nyumban kwao saa 11 asubuhi wanarudi jioni.
Ila alishafariki kitambo sana mwaka 1986
R.I.P babu yangu
Kabisa ila sijawahi kuonana nae LIVE alifariki 1986 miaka 10 baadae ndio nikazaliwa.Na waliokwenda shule walihakikishiwa ajira