Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,817
Mwafrika mweusi asiyejua Kiingereza anadharauliwa sana na Mwafrika Mweusi TU lkn siyo na Mzungu, Mchina, Mwarabu, Muhindi n.k hivi ni kwanini?
Ninachomaanisha kwa mfano kama haujui Kiingereza ukamwambia Mmarekani haujui Kiingereza haitakuwa ishu siyo ishu, lkn ukimwambia Mwafrika (mweusi) haujui Kiingereza atakudharau kama kiatu na si ajabu hata kama ulitaka huduma ofisini kwake ukawa ndiyo mwisho wako, sasa kwa nini?
Kwa mfano leo hii Waziri Mkuu au Waziri (Mwafrika Mweusi) yoyote yule aseme hawezi kuongea Kiingereza vizuri hapa JF ita crash kwa jinsi watu (sisi Waafrika weusi) watakavyokuwa wanamshambulia na wengine kumtaka ajiuzulu na hii itasambaa Afrika Nyeusi (Mzungu wa AK wala haitakuwa ishu) yote na kuwa ndiyo hoja ya mwaka, lkn hali kama hii haiwezi kutokea sehemu nyingine yoyote ile Duniani isipokuwa Afrika nyeusi kwetu hata Afrika Kaskazini haiwezekani hata tu Somalia haitakuwa ishu, sasa ni kwa nini tuko tofauti na Dunia nzima?
Je hili linahalisha sisi kubaguliwa na karibu kila kiumbe wa Dunia hii, mpaka hata Mungu?
Ninachomaanisha kwa mfano kama haujui Kiingereza ukamwambia Mmarekani haujui Kiingereza haitakuwa ishu siyo ishu, lkn ukimwambia Mwafrika (mweusi) haujui Kiingereza atakudharau kama kiatu na si ajabu hata kama ulitaka huduma ofisini kwake ukawa ndiyo mwisho wako, sasa kwa nini?
Kwa mfano leo hii Waziri Mkuu au Waziri (Mwafrika Mweusi) yoyote yule aseme hawezi kuongea Kiingereza vizuri hapa JF ita crash kwa jinsi watu (sisi Waafrika weusi) watakavyokuwa wanamshambulia na wengine kumtaka ajiuzulu na hii itasambaa Afrika Nyeusi (Mzungu wa AK wala haitakuwa ishu) yote na kuwa ndiyo hoja ya mwaka, lkn hali kama hii haiwezi kutokea sehemu nyingine yoyote ile Duniani isipokuwa Afrika nyeusi kwetu hata Afrika Kaskazini haiwezekani hata tu Somalia haitakuwa ishu, sasa ni kwa nini tuko tofauti na Dunia nzima?
Je hili linahalisha sisi kubaguliwa na karibu kila kiumbe wa Dunia hii, mpaka hata Mungu?