johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,116
Ni haki tena ni wajibu kama itampendeza Makamu mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lisu kwenda Chato kuzuru kaburi la Shujaa Magufuli na kuwasalimia Wapiga kura wake
Ikumbukwe Chato ndio jumbo pekee ambalo Tundu Lisu alipata mapokezi makubwa na iklamlazimu arejee mara ya pili
Chato ndipo Tundu Antipas Lisu alijizolea kura nyingi sana 2020 yeye na Mgombea Ubunge wa Chadema
Mlale Unono 😃😃
Ikumbukwe Chato ndio jumbo pekee ambalo Tundu Lisu alipata mapokezi makubwa na iklamlazimu arejee mara ya pili
Chato ndipo Tundu Antipas Lisu alijizolea kura nyingi sana 2020 yeye na Mgombea Ubunge wa Chadema
Mlale Unono 😃😃