ridhiwani gamba
Member
- Oct 15, 2011
- 15
- 4
imekua kama vocha m2 akikwangua nakuingiza namba the end of game
Hahahaha. . .ntajitahidi Bi nyakomba.
Asante kwa ukaribisho. Salama lakini?!
imekua kama vocha m2 akikwangua nakuingiza namba the end of game
hahaaa uwiiiii baba Asharaf kaona mama ashraf kajiungaJF na yeye akaona kama noma na iwe noma na mie najiunga.
mama ashraf namjua ila baba ashraf ninahisi namjua lol.
Enheee mimi ndiye Baba Ashrat. Unahisi umenijulia wapi?