Yap ina mchango mkubwa sana...Ila pia nimeeleza uzuri ni sehemu pia inayochangia ingawa kuna sababu nyingine zinazochangia toka mtu mmoja mpaka mwingine.
Kwa hiyo hatuwezi kusema huyu anatongozwa na wanaume kwa sababu ana sifa zote hapo juu........Kuna wengine wanavutiwa na bantu figure, wengine sura nzuri n.k...........Na kuna wadada wengine basi tu ni mvuto kila mmoja anamtaka ukiwauliza kwa nini hakuna majibu yanayofanana.
Ngoja nigeuze hivi pia ..ushasikia mwanamke anayeburuzwa na kila mtu (umalaya sio wa biashara) na kila mtu anakwambia huyo akikutaa kaoge maji ya bahari...............Lakini anatokea jamaa anayejiheshimu anaomba mchezo ana anakataliwa!!
mmh! Erotica huyu anavutia kwasababu yuko uchi with that porn style au? manake mimi binafsi mathalani nikikutana na mwanaume rijali chumbani kakaa pozi fulani la kimatusi naweza kuvutika kufanya matusi nae lakin mwanaume hiyo pengine nikikutana naye nje wala hata salam yake nisiipokee kwamba hanamvuto.
mkuu umesema vizuri sana lakini hapa naongelea kitu ambacho ni seen, kweli mvuto kwa mwanamke upo?
Hata kwa wanaume kuna ambao wana mvuto na wakati mwingine sio lazima mtu awe mzuri hua inatokea tu! Tena utasikia wengine wanasema mtu fulani ana damu ya kupendwa! Unaweza kuta hana umbo zuri wala sura nzuri but the way anavyointeract na watu inafanya amvutie kila mtu!
asikudanganye mtu. unadhani ni kwa nini wanawake wengi ni waoga kuvua nguo wakati wa kufanyana?
mara alalame boobs zake zote za kushoto. mara alalame tumbo lake lina mstari, mara alalame hips zake za chini.
mtu yeyote aliye huru akiwa uchi wa mnyama huyo mtu yupo more confident akivaa nguo. sbb nguo
zinaziba yale yote ambayo wanawake huwa twalalama aviko sawa miilini mwetu. huyo dada hata akivaa
nguo anaonekana kuwa atakuwa na mvuto hata hivo sina hiyana. umemuona huyu?
nae sio mzuri kivile, lkn ana mvuto ambao mwanaume yeyote anayependa kufanyana anatamani avue hizo nguo.
kwani Ruta huu mvuto umekaa kwenye nini? je nikujipamba ama ni umbo ama ni sauti ama nitabasamu ama ni nini hasa? na je kitu hicho kinchomvutia mwanaume mmoja chaweza kumvutia na mwingine? na je mvuto huu hunogesha mchezo au la?
me huwa nasikia kuwa kuna mwanamke ana mvuto bt co mzuri, kuna mwingne ni mzuri bt hana mvuto na kuna mwanamke ana mvuto na ni mzuri pia. ngoja waje wanaume wakudadavulia vzr!
sasa shostito Erotica hapa umeleta kitu kizuri kweli ambacho nlitamani kijitokeze ili kijadiliwe. hivi mvuto wa mtu waweza kuondoka awapo mtupu? provided kwamba hana kilema ambacho chaweza kupoteza hisia?
sasa kaka yangu wa moyoni platozoom tunakwenda sambamba ila hebu nijibu swali hili hapa, hivi mvuto ama uzuri wa huyu mwanamke at first eye utaangalia nini? je ni zile features unazozipenda ama zile wenzio wanazosema ni nzuri ama hauna sababu nyuma yake?
me huwa nasikia kuwa kuna mwanamke ana mvuto bt co mzuri, kuna mwingne ni mzuri bt hana mvuto na kuna mwanamke ana mvuto na ni mzuri pia. ngoja waje wanaume wakudadavulia vzr!
kusema kweli hata mie hua najiuliza sana hili swali, sidhani kama mvuto unaonekana?!?bali mvuto unahisiwa (utanisahihisha if am wrong)yani ukimuona mtu unajihisi kuvutiwa nae sometimes bila hata kujua sababu..[/QUOTE]
@Purple, inawezekana kweli kuvutiwa na mtu bila kujua sababu ya kuvutiwa naye? Mie nimewahi kusikia wanawake wakidai wamevutiwa na kifua, mikono, n.k. kwa wanaume walio wengi pale ambapo amemuona binti ambaye hamfahamu na akaamua kumtongoza basi huwa anajua fika nini kilichomvutia kwa binti yule hadi aamue kuuza lugha.
NB: Hawa wanaume ninaozungumzia hapa ni wale ambao hawajapata moja baridi moja moto maana ukishagubikwa na maji ya dhahabu basi kila mwanamke aliye mbele yako ni mzuri.
BAK hivi hujawahi kusikia mtaani watu wanasema fulani ana damu ya kupendwa??simply because anapendwa na kila mtu sio kwa uzuri wake, wala umbo lake bali imetokea tu akawa kivutio cha wengi!mvuto is more about hisia,hauonekani wala haushikiki..wakati mwingine unaeza ona mtu ni wa kawaida sana lakini anavutia wengi kuliko yule anayeonekana mzuri..kusema kweli hata mie hua najiuliza sana hili swali, sidhani kama mvuto unaonekana?!?bali mvuto unahisiwa (utanisahihisha if am wrong)yani ukimuona mtu unajihisi kuvutiwa nae sometimes bila hata kujua sababu..[/QUOTE]
Purple, inawezekana kweli kuvutiwa na mtu bila kujua sababu ya kuvutiwa naye? Mie nimewahi kusikia wanawake wakidai wamevutiwa na kifua, mikono, n.k. kwa wanaume walio wengi pale ambapo amemuona binti ambaye hamfahamu na akaamua kumtongoza basi huwa anajua fika nini kilichomvutia kwa binti yule hadi aamue kuuza lugha.
NB: Hawa wanaume ninaozungumzia hapa ni wale ambao hawajapata moja baridi moja moto maana ukishagubikwa na maji ya dhahabu basi kila mwanamke aliye mbele yako ni mzuri.