Amina Thomas
JF-Expert Member
- Mar 9, 2008
- 272
- 130
Nimeipenda sana. Ila hapo alipoanza kukuta magazeti nilifikiri joke ingeenda hivi: Kwa kuwa bwana harusi alikuwa mvuta bangi, alipoona magazeti yemesokotwa alichukua kibiriti na kukiwasha akidhania kapata msokoto wa siku! Anyway, jokes do not end in the way you expect them to. thanksMvuta bangi kaposa mtoto wa
kike mwembamba sana.
Siku ya harusi mama mtu
akamzungushia mwanae
magazeti apate kuonekana
kajazia.
Harusi ikapita, Muda wakulala
ulipofika jamaa akataka haki
ya ndoa kumvua nguo akakuta
gazeti kila akichana anakuta
gazeti lingine akachoka!!
Akauliza kwaukali kwani vipi?
Bibi harusi akajibu sijui
mama...!!
Jamaa akampigia simu mama
mkwe...
Hallow mamamkwe... Uchi wa
mwanao upo ukurasa wa
ngapi?.
Hahahaaaaaaaaaaaaaa
Mvuta bangi kaposa mtoto wa
kike mwembamba sana.
Siku ya harusi mama mtu
akamzungushia mwanae
magazeti apate kuonekana
kajazia.
Harusi ikapita, Muda wakulala
ulipofika jamaa akataka haki
ya ndoa kumvua nguo akakuta
gazeti kila akichana anakuta
gazeti lingine akachoka!!
Akauliza kwaukali kwani vipi?
Bibi harusi akajibu sijui
mama...!!
Jamaa akampigia simu mama
mkwe...
Hallow mamamkwe... Uchi wa
mwanao upo ukurasa wa
ngapi?.
Mvuta bangi kaposa mtoto wa
kike mwembamba sana.
Siku ya harusi mama mtu
akamzungushia mwanae
magazeti apate kuonekana
kajazia.
Harusi ikapita, Muda wakulala
ulipofika jamaa akataka haki
ya ndoa kumvua nguo akakuta
gazeti kila akichana anakuta
gazeti lingine akachoka!!
Akauliza kwaukali kwani vipi?
Bibi harusi akajibu sijui
mama...!!
Jamaa akampigia simu mama
mkwe...
Hallow mamamkwe... Uchi wa
mwanao upo ukurasa wa
ngapi?.
Funua funua mpaka palipoandikwa maoni ya mhariri utauona.umetisha mkuu.