Bangi mbaya

PNC

JF-Expert Member
Feb 3, 2015
8,107
14,352
Mvuta bangi kaposa mtoto wa kike mwembamba sana. Siku ya harusi mama mtu akamzungushia mwanae
magazeti apate kuonekana kajazia. Harusi ikapita, muda wa kulala ulipofika, jamaa akataka haki ya ndoa kumvua nguo.

Akakuta gazeti. Kila akichana anakuta gazeti lingine, akachoka! Akauliza kwa ukali, 'kwani vipi?' Bibi harusi akajibu, 'sijui mama...!!' Jamaa akampigia simu mama mkwe...

'Hallow mamamkwe... uchi wa mwanao upo ukurasa wa ngapi?.' Siku njema.
 
Mvuta bangi kaposa mtoto wa kike mwembamba sana. Siku ya harusi mama mtu akamzungushia mwanae
magazeti apate kuonekana kajazia. Harusi ikapita, muda wa kulala ulipofika, jamaa akataka haki ya ndoa kumvua nguo.

Akakuta gazeti. Kila akichana anakuta gazeti lingine, akachoka! Akauliza kwa ukali, 'kwani vipi?' Bibi harusi akajibu, 'sijui mama...!!' Jamaa akampigia simu mama mkwe...

'Hallow mamamkwe... uchi wa mwanao upo ukurasa wa ngapi?.' Siku njema.
Hahahaha
 
Mvuta bangi kaposa mtoto wa kike mwembamba sana. Siku ya harusi mama mtu akamzungushia mwanae
magazeti apate kuonekana kajazia. Harusi ikapita, muda wa kulala ulipofika, jamaa akataka haki ya ndoa kumvua nguo.

Akakuta gazeti. Kila akichana anakuta gazeti lingine, akachoka! Akauliza kwa ukali, 'kwani vipi?' Bibi harusi akajibu, 'sijui mama...!!' Jamaa akampigia simu mama mkwe...

'Hallow mamamkwe... uchi wa mwanao upo ukurasa wa ngapi?.' Siku njema.
Kazungushiwa magazeti kama wemaeli sepenga
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom