Mambaenock
JF-Expert Member
- Aug 7, 2013
- 427
- 107
Hivi ni kweli mvulana asipofanya mapenzi kwa muda mrefu anapata chunusi sehemu mbalimbali za mwili wake?
Mvulana hatakiwi kufanya mapenzi mpaka awe mwanaume......
Mvulana hatakiwi kufanya mapenzi mpaka awe mwanaume......
Hivi ni kweli mvulana asipofanya mapenzi kwa muda mrefu anapata chunusi sehemu mbalimbali za mwili wake?
Kwani wewe ni mvulana au mwanaume?
siyo tu kwamba hatakiwi. . .mvulana HAWEZI kufanya mapenzi mpaka awe mwanaume.Mvulana hatakiwi kufanya mapenzi mpaka awe mwanaume......
hahahahahahha chezea JF wewe, we think quite differentlyMvulana hatakiwi kufanya mapenzi mpaka awe mwanaume......
mi leo nna mwaka 1 na nipo fresh ki-uchumi,siasa,elimu na jamii,na cjafanya mapenzi kabsa na km ukiniona cna hata chembe ya chunusu zaidi ya sharubu! huamini?
mi leo nna mwaka 1 na nipo fresh ki-uchumi,siasa,elimu na jamii,na cjafanya mapenzi kabsa na km ukiniona cna hata chembe ya chunusu zaidi ya sharubu! huamini?
Mvulana hatakiwi kufanya mapenzi mpaka awe mwanaume......
mi leo nna mwaka 1 na nipo fresh ki-uchumi,siasa,elimu na jamii,na cjafanya mapenzi kabsa na km ukiniona cna hata chembe ya chunusu zaidi ya sharubu! huamini?
Uko fresh kila kitu bt umekosa kuwa fresh kwenye kupiga papuchi,mwaka mzima sio masihara kama huna tatizo me nina mdogo wng ni komandoo lakini kila week end hutoroka Ngerengere 72KJ kuja kutafuta migoma
mi leo nna mwaka 1 na nipo fresh ki-uchumi,siasa,elimu na jamii,na cjafanya mapenzi kabsa na km ukiniona cna hata chembe ya chunusu zaidi ya sharubu! huamini?