maeneo ya katikati ya jiji la arusha kuna mvua kubwa ya ''mawe'' inaendelea .nina uhakika hii ni ishara ya ukombozi.
Jamani mbona hapa 7 up hakuna mvua?Inakung'uta kiukwelii
mkuu tatizo uko bar!hakuna upako hapo!
Sogea hizi pande za philips ujizolee baraka.
nimemiss sana maeneo yangu ya kujidai..dah..too bad i will never kanyaga arusha again..never ever!!
Hahahaaaa kwangu ndio imenyesha asubuhimkuu tatizo uko bar!hakuna upako hapo!
Sogea hizi pande za philips ujizolee baraka.
nimemiss sana maeneo yangu ya kujidai..dah..too bad i will never kanyaga arusha again..never ever!!
Jamani mbona hapa 7 up hakuna mvua?
Au ni ya mgao?
Teh leo ndo ilinyesha kubwa sana asubuhiMhmmm!!! Nadhani huko kwenu mgao bado haujawafikia. Embu endelea kula vumbi kidogo wakati sisi tunaendelea kuoga baraka huku.